Mtanzania Bingwa wa Dunia

Mtanzania Bingwa wa Dunia

kitimoto.jpg

FaizaFoxy karibu tule.
cc Elli

Ohh ahsante, tamu sana, umepika wewe hii?

Hivi hii nyama ya nini mbona tamu hivi? Nguruwe? hivi bibilia inaruhusu enh?
 
Sijakusikia vizuri, unasema eti juzi FaizaFoxy ulikua unapata nae kitimoto? Hapana bhana you are not serious, hahahhaaa na kiroba faiza anagonga? tena kavu? hapana siamini
sasa Elli tuuchakachue uzi wake hadi aombee poo. kalianzisha yeye hili.
 
Last edited by a moderator:
MITUNGI.jpg


unamwona FaizaFoxy alivyokuwa tirarira?? huku akiwa na kachupa kake ka castle laga mweeh!!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe WAgalatia wanaupendo kiasi hicho...Hongera Sister kwa kukuza kipaji cha Hamisi.
Mkuu sio upendo tu Wagalatia wako focused sana na maendeleo, wasi wasi wangu tukiwakabidhi akina FaizaFoxy huyo kijana atepekekwa kuwa mpiga dufu na kipaji chake ndio kitaishia hapo
 
Last edited by a moderator:
Ohh ahsante, tamu sana, umepika wewe hii?

Hivi hii nyama ya nini mbona tamu hivi? Nguruwe? hivi bibilia inaruhusu enh?

mm naruhusiwa na ndio mana napika na kula. kumbe hata wewe umeiona tamu sio.
Hongera sana kwa kula kiti moto tamuuuuuuuuuuu niliyopika mweyewe.
subiri kidogo nakuleta bia ushushie ili tumbo likae sawa.
 
Sijakusikia vizuri, unasema eti juzi FaizaFoxy ulikua unapata nae kitimoto? Hapana bhana you are not serious, hahahhaaa na kiroba faiza anagonga? tena kavu? hapana siamini

unasema nini?? yaani tena alilewa ila mbaya mcheki hapa na hapo alikwa anaenda kugonga 3some chezeya FaizaFoxy wewe??

MITUNGI.jpg
 
Last edited by a moderator:
Acha udini wewe chambafu kafrr.

Hivi udini ndio nini? Sasa ukiniambia niache kitu ambacho wewe hujuwi kukitumia kwake si utanifanya nisifanye kazi zangu kwa ubora?

Hebu ingia hapa kwenye Udini labda, tena labda na wewe utafaidika maana pana faida kubwa sana: http://udini.proquest.com/

Ukishaingia huko uje kunambia kama ni kiwango chako na pana faida au hapana au huna kiwango hicho.
 
Hahahahhaaaaa Dada you made my Day kwi kw kwi kwi hahahahahaaaa duh, mbona kama hio nguo kailowanisha? halafu saa hizi kafunga ushungi anamdanganya nani sasa?
unasema nini?? yaani tena alilewa ila mbaya mcheki hapa na hapo alikwa anaenda kugonga 3some chezeya FaizaFoxy wewe??

MITUNGI.jpg
 
Hahahahhaaaaa DFada you mdae my Day kwi kw kwi kwi hahahahahaaaa duh, mbona kama hio nguo kailowanisha? halafu saa hizi kafunga ushungi anamdanganya nani sasa?

hapa si anatuzuga tu huyu??
halafu ujue FaizaFoxy ni dume?? huwaga namshangaa kwann anatokelezea na shungi yaani simwelewagi kabisaa??
 
Last edited by a moderator:
kwani inaruhusu kusimanga wengine na kutoa pongezi kulingana na Dini??? Una visa wewe, Wallh lazima nikuoe tu wewe, lazima there is no way

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Hivi udini ndio nini?
tukitaka hii yali ya nyinyi kujisikia wanyonge siku zote ni nyinyi kuwapeleka watoto wenu shule badala ya watoto wenu kusoma masomo ya dini ambayo kimsingi ni mafundisho ya kimapepo. Someni elimu dunia muache kulalamika na kujiona wanyonge.
 
Ninahisigi the same, na naamini yuko hivyo au kama sivyo basi atakua ni shemale....maana mmmhhh

yaani kaka umeuaa mbaya kabisa!!
nimemuuliza hivi anamtoto wa kike?? amegoma kunijibu.
 
Wacha wacha waseme, mtasema mchana ooh na usiku mtalala.

hahaahhhhaha!!!!!!!!!!!!!!
aHALOOOOOOOOOO YA FaizaFoxy ????...................tutamsema mchana usiku tutalala??? ebwanaeee ................hii imekaaa poa kimtindo.

BTW leo shostito swaumu yako ITA-SWIII?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom