Mtanzania Bingwa wa Dunia

Mtanzania Bingwa wa Dunia

Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?

Hivi hamuoni aibu kushabikia mambo ya udini katika maswala yasiyo ya Kidini. Hivi taifa hili mtalipeleka wapi na mambo haya ya kidini? Mbona Sister Jean alipomoukota mtaani huyu kijana hakutizama jina wala dini yake na mpaka leo kamuwezesha kuliletea sifa taifa na yeye mwenyewe?
Hivi kwani unajua kwa uhakika huyu Hamisi ana imani na dini gani?
 
Faiza ukoje lakini? Tulia kwenye mada moja basi, umeshaanzisha mada tatu ndani ya mada moja kuu, tumpongeze m'bongo mwenzetu hayo mengine utayanzishia thread zao pia. Unaonaje wazo langu?

huyu ngoja kwanza lazima nimlishe kiti moto huyu ndipo atakapao shka adabu yake. nina mpango wa kumwagiza Klein wangu akamuharibu binti yake nione kama atambanika ama atafanyeje.
 
Invisible nikumbushe jinsi ya kum-blacklist mtu nisone post zake kabisa, MANI unajua hii technology maana huyu binti ananiharibuia siku please. Natamani nisiwe naziona wala kuzisoma post zake kabisa, rubbish
 
Last edited by a moderator:
Tatizo tunaweza fikiri tunamkomoa kumbe ndio tumemfikisha kiwanja chake, akila akimaliza akaomba aongezewe kidogo, ntampeleka pale TRA Mwenge kwa Nyuma pana kitimoto mishkaki, rost ndio zitamfaa huyu....
huyu ngoja kwanza lazima nimlishe kiti moto huyu ndipo atakapao shka adabu yake. nina mpango wa kumwagiza Klein wangu akamuharibu binti yake nione kama atambanika ama atafanyeje.
 
Tatizo tunaweza fikiri tunamkomoa kumbe ndio tumemfikisha kiwanja chake, akila akimaliza akaomba aongezewe kidogo, ntampeleka pale TRA Mwenge kwa Nyuma pana kitimoto mishkaki, rost ndio zitamfaa huyu....

halafu kweli inawezekana ni mlaji mzuri wa kitimoto tena anajua kula hadi supu ya kwato migombani hapa survey. Utafikir jamvi hili mwislamu ni yy peke yake. ngoja kwanza nimtafutie rostii safiiiiii nimkaribishe mchana huu kwa ugali ama ndizi rosti.
 
Jamaani acheni mambo ya kuangalia najina ya watu halafu unaleta udini.
 
kitimoto.jpg

FaizaFoxy karibu tule.
cc Elli
 
Last edited by a moderator:
Yeap Migombani paka kificho kidogo, kwa Mama Kamche pako barabarani sana hata kubali, mlaji mzuri sana wa kitimoto na anajua mapishi yake yote anatupigia kelel tu hapa

CC: FaizaFoxy
halafu kweli inawezekana ni mlaji mzuri wa kitimoto tena anajua kula hadi supu ya kwato migombani hapa survey. Utafikir jamvi hili mwislamu ni yy peke yake. ngoja kwanza nimtafutie rostii safiiiiii nimkaribishe mchana huu kwa ugali ama ndizi rosti.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo sio hoja kwani amelelewa na Sister Jean Pruitt, na anafadhiliwa na Amy Canady mbona siwaoni akina .........kama kweli mnapenda maendeleo ya dogo

Kumbe WAgalatia wanaupendo kiasi hicho...Hongera Sister kwa kukuza kipaji cha Hamisi.
 
Yeap Migombani paka kificho kidogo, kwa Mama Kamche pako barabarani sana hata kubali, mlaji mzuri sana wa kitimoto na anajua mapishi yake yote anatupigia kelel tu hapa

CC: FaizaFoxy
sikutaka akae kwa mama kamche manake pale wanga wata mwona nataka nikamfiche huyu huko katikati ya migomba.
halafu unajua nini??
akirudi kwenye huu uzi swaumu yake hai-swii................
 
Yeap Migombani paka kificho kidogo, kwa Mama Kamche pako barabarani sana hata kubali, mlaji mzuri sana wa kitimoto na anajua mapishi yake yote anatupigia kelel tu hapa

CC: FaizaFoxy

Bibilia ingeruhusu ningekula.
 
hahahahhaaaaaaa aiseee umemuweza sana, alidhani watu wakibaki na kuchangia thread yake ni wajinga, sasa tumembadilishia mada, aje hapa tena na upuuzi wake, tena anagonga viroba huyu sio mchezo

sasa Elli tuuchakachue uzi wake hadi aombee poo. kalianzisha yeye hili.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom