Hivi ndugu, unafahamu madhara ya hicho unachokifanya humu?
Yani unaanzisha timbwili la udini from nowhere yani?
Unaelewa kweli madhara ya migawanyiko ya kidini kwenye jamii?
Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?
Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?
Mi nimemfagilia kwelikweli ila dada ukianza kuleta Mambo ya MSIKITI kwenye hili utaharibu sana kwani unapandikiza ambacho hakipo miyoyoni mwa watu. Kumbuka Hashim Thabit ni Mwisilamu na hamna anayemchukia au ku dispute au ku undermine talent yake bali tunamjua kama mtanzania mwenzetu na hata Hamisi tunamchukulia hivyo.Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?
Duh! Ndo maana najiulizaga hivi hizi futurisha zingekuwa zinafanywa na pande ile nyingine kungekalika kweli?!. Nyimbo tu kwenye simu Kasheshe! Yaani ni kulalamika hata kwa mambo ambayo hayana msingi eti sababu anaitwa Hamisi!!!!!!!!!!????. Jamani!!!!!Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?
Migawanyiko mara ngapi? prove me wrong kwa kumpongeza kijana Hamisi Mohamed Kondo.
Hicho ndo kinakutofautisha na wengine. Mtoto pekee ndo anakataa chakula kwa kuona sisimizi mmoja Kanata kwenye sahaniHapa ni fb? hivi unafikiri kila mtu anakwenda huko fb? umechelewa.
Hivi wewe kwa akili yako uko hapa ili upendwe? unanchekesha.
Hicho ndo kinakutofautisha na wengine. Mtoto pekee ndo anakataa chakula kwa kuona sisimizi mmoja Kanata kwenye sahani
Duh! Ndo maana najiulizaga hivi hizi futurisha zingekuwa zinafanywa na pande ile nyingine kungekalika kweli?!. Nyimbo tu kwenye simu Kasheshe! Yaani ni kulalamika hata kwa mambo ambayo hayana msingi eti sababu anaitwa Hamisi!!!!!!!!!!????. Jamani!!!!!
Mi nimemfagilia kwelikweli ila dada ukianza kuleta Mambo ya MSIKITI kwenye hili utaharibu sana kwani unapandikiza ambacho hakipo miyoyoni mwa watu. Kumbuka Hashim Thabit ni Mwisilamu na hamna anayemchukia au ku dispute au ku undermine talent yake bali tunamjua kama mtanzania mwenzetu na hata Hamisi tunamchukulia hivyo.
Haya siyo Mashindano ya kusoma QURAN useme wakristo hawana stake. Jitahidi ku argu neutrally si kila wakati unataka kuonyesha Mnaonewa!!!!
ondoa hizi post ambazo zinaleta hisia za udini, uwe unafikiria kama mtanzania na sikama mwislam au mkiristo
Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?
Hivi wewe ni dini ipi na nani Dunia hii asiye na dini?
Uislam kwanza Utanzania baadae, kwanza huu Utanzania mie nilipachikwa tu, mie Mtanganyika niliyenyang'anywa uraia wangu bila kushauriwa.
na sijampa hongera kwasababu ni mwislamu ila nimempa kwasababu anastahili hongera kwa kushinda.Angeipataje hongera yako?