Mtanzania Bingwa wa Dunia

Mtanzania Bingwa wa Dunia

Kwa hili la kuipoteza Tanganyika hata mimi linaniuma sana. Natumai Nape yumo humu na anakusoma.
Naipenda signature yako. Sijui tufanye nini ili abadilike ila nina uhakika kuwa pengine anachokifanya ni kujaribu kupiga kampeni ili watu waudhike na kukubali serikali tatu. Tunaweza kujifurahisha kwa statement alotoa Mzee wa hekima kwa sie Watanganyika-Mzee Warioba kuwa Tume yake haiangalii utitili wa maoni ila substance. Kwa mantiki hiyo naamini ushindi upo karibu wa kuipata Tanganyika yetu.
 
big up sana dogo daaaaaaah he is brilliant....very strong and also mascular...big up dogodogo center for your support.
 
Hiyo sio hoja kwani amelelewa na Sister Jean Pruitt, na anafadhiliwa na Amy Canady mbona siwaoni akina .........kama kweli mnapenda maendeleo ya dogo
Wanatisha mpaka unaogopa kumalizia majina yao..!
 
Soma kuhusu reverse psychology, utapata faida.
Mbona wewe mwenyewe haijakupa faida?

Mtu mzima kutwa kucha kila unachokiona humu unakigeuza udini udini udini.... umepagawa na udini, nenda basi Afghanistan ukaishi na Taliban uongelee udini kutwa, manake bahati mbaya hapa Tanzania imetokea kwamba kuna watu wa dini mbali mbali, na huwezi kulibadilisha hilo.

Utanambiaje mimi nikasome reverse psychology wakati wewe haijakusaidia? Hujui kuishi na wenzio bila kuwachokoa na mambo ya udini kutwa, hujui kujiheshimu Mama mzima, halafu mimi ndo nikasome psychology?
 
Mbona wewe mwenyewe haijakupa faida?

Mtu mzima kutwa kucha kila unachokiona humu unakigeuza udini udini udini.... umepagawa na udini, nenda basi Afghanistan ukaishi na Taliban uongelee udini kutwa, manake bahati mbaya hapa Tanzania imetokea kwamba kuna watu wa dini mbali mbali, na huwezi kulibadilisha hilo.

Utanambiaje mimi nikasome reverse psychology wakati wewe haijakusaidia? Hujui kuishi na wenzio bila kuwachokoa na mambo ya udini kutwa, hujui kujiheshimu Mama mzima, halafu mimi ndo nikasome psychology?

Udini ndio nini?
 
Watanzania hata kumpa hongera huyu kijana? Duh. Au kwa kuwa anaitwa Hamisi?

Wewe si ndio mtu wa kwanza kucoment hapa mbona hujampongeza? Afu unapokua mtu wa kwanza kukoment kwenye thread na ukak0ment ujinga unawahamisha watu kwenye mada husika na kuwapeleka kwenye upuuzi wako! Afu kitu kingine dada angu we ni mtu mzima jaribu kujiheshimu umewahi kusikia wapi mwanamichezo yeyote wa hapa Tanzania aliyewahi kubaguliwa kutokana na dini yake au jina lake?
 
Wewe si ndio mtu wa kwanza kucoment hapa mbona hujampongeza? Afu unapokua mtu wa kwanza kukoment kwenye thread na ukak0ment ujinga unawahamisha watu kwenye mada husika na kuwapeleka kwenye upuuzi wako! Afu kitu kingine dada angu we ni mtu mzima jaribu kujiheshimu umewahi kusikia wapi mwanamichezo yeyote wa hapa Tanzania aliyewahi kubaguliwa kutokana na dini yake au jina lake?

Mohamed Ali, unakijuwa kisa chake alipokuja Tanzania?
 
tarifaa zinaa week sasa kama na nusu na mpaka ikulu ashaenda kupongezwa.... polee umecheleea kulijua hili
 
Back
Top Bottom