Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina
Ayubu 1:20-22 Ndipo Ayubu akainuka, akalirarua joho lake, kisha akanyoa kichwa chake, na kuanguka na nchi, na kusujudia akasema, Mimi nilitoka tumboni kwa Mama yangu nili uc*i, nami nitarudi tena huko uc*i vile vile; BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE. katika mambo hayo yote, Ayubu hakufanya dhambi, wala kumkwaza Mungu kwa upumbavu.
Ayubu 14 1, Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku za kuishi kwake si nyingi, naye hujaa taabu.
Ayubu 1:20-22 Ndipo Ayubu akainuka, akalirarua joho lake, kisha akanyoa kichwa chake, na kuanguka na nchi, na kusujudia akasema, Mimi nilitoka tumboni kwa Mama yangu nili uc*i, nami nitarudi tena huko uc*i vile vile; BWANA ALITOA, NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE. katika mambo hayo yote, Ayubu hakufanya dhambi, wala kumkwaza Mungu kwa upumbavu.
Ayubu 14 1, Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku za kuishi kwake si nyingi, naye hujaa taabu.