Mwazange
JF-Expert Member
- Nov 16, 2007
- 1,056
- 81
Posted by Mwazange: Mgonjwa tayari ameshatutoka?????
Unanambia mimi Kifimbocheza huku unaposti crippity crap kama hiyo ! Huwezi kusema kitu kama hicho mtu bado yuko Hospitali.
Nilishakufahamisha before kuwa hii sio nyuzi ya ligi...bado unatafuta point tu mkuu? tafuta nyuzi nyingine tukabishanie huko pindi hii ikikaa sawa...you will pick a topic then its going to be on...right my friend????
Kukujibu hako kahoja kako...ungenukuu post nzima nzima jinsi nilivyoandika.....niliomba maelezo zaidi mwishoni. Mbona hiyo hukuinukuu? Au haikuendana na mwelekeo wa hoja yako...(ya kuleta ubishi)?