Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe.
Watu wa karibu tunaombeni updates za msiba huu ili tupate kushiriki kwa huku nyumbani.
ikiwezekana pia tupate ratiba ya mazishi n.k