Mtoa uzi ana chuki binafsiYaonekana zile safari zake za kwenda ughaibuni kila uchwao zinakutesa sana mtoa uzi, pambana nawe uende kama ni ndoto yako ama mfuate akujuze njia zake nawe uyaishi hayo.
Kutokuiweka iyo to kunasababisha "Ambiguity" structural ambiguity ambayo inaweza inaleta Barrier kwenye communication.Yaani mtu kakosea kuweka "to" anaambiwa hajui kiingereza wakati neno welcome lilikuwepo ambapo kimsingi ni la kiingereza...
Exactly!! Hii si tabia nzuri!!Wew upo hpo hpo wasafi FM unamsema tu boss wako kijanja wew ni edo
Tena anaweza kuwa mchawi huyu!!Mtoa uzi ana chuki binafsi
Vilaza wenzake wamemtetea kwa povu jingi sana.Sifa kubwa ya mwandishi wa habari ni kujua lugha mbalimbali at least 2 za kimataifa.
Mojawapo ya kazi zao ni kufanya mahojiano na watu tofauti, wa mataifa tofauti.
Kama kweli amefanya hivyo ni kanjanja najua utopolo watamtetea ila ukweli utabaki kama ulivyo.
Kinge ni hatari mkuu.Umeniangusha mno leo ambapo hapo Studioni Kwako ulikuwa na Wageni (Wazungu) Wawili akiwemo Mjerumani Mr. Alvaro ambaye ni Mkufunzi wa Soka la Vijana na Wanawake...
Au walau angekumbuka tu jezi ya Simba awaambie Visit Tanzania... ' Welcome Tanzania ' badala ya kusema (Kumwambia) ' Welcome to Tanzania '
Anachokijua Mtangazaji Maulid Kitenge ni kwenda huko Majuu ( Ulaya na Marekani ) huku akipiga Picha akiwa katika Mighahawa na Kujiegesha katika Gari za Kifahari hi huku kila akiunganishwa na Wenzake wa Mbezi Beach utamsikia ' naripoti nikiwa hapa Washington DC Marekani ' wakati pamoja na kuwa hapo Kiingereza pekee anachokijua ni cha kusema ' Welcome Tanzania ' tu. Hovyo kabisa!!!!!!!Kijola una miaka zaidi ya ishirini kwenye uandishi wa habari na utangazaji lakini lugha ya mawasiliano kimataifa inakupiga chenga,nenda hata kwa Ras Simba, utaibeba aibu hii hadi lini?
Ha ha ha ha ha ha ha.... Kazi kweli kweli!!Wew upo hpo hpo wasafi FM unamsema tu boss wako kijanja wew ni edo
Na ninamjua kweli kweli wala haujakosea.Kuna ukweli ila ni kama mnajuana, umetanguliza chuki mbele
Kuambiwa Ukweli na Kukosolewa ni Kuchukiwa? Hopeless kabisa Wewe.Mbona kama mwandishi una chuki personal