MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Umeniangusha mno leo ambapo hapo Studioni Kwako ulikuwa na Wageni (Wazungu) Wawili akiwemo Mjerumani Mr. Alvaro ambaye ni Mkufunzi wa Soka la Vijana na Wanawake.
Kiingereza chako cha Kumkaribisha Mjerumani Mr. Alvaro kwa Kumwambia ' Welcome Tanzania ' badala ya kusema (Kumwambia) ' Welcome to Tanzania ' kilinifikirisha zaidi na Kusikitika.
Na ulivyo Msanii (Mjanja Mjanja) Kiingereza pekee ulichokielewa haraka wakati Mgeni Mr. Alvaro anaongea ni yale maneno ya ' Show ' na ' Number One ' ila Kwingine kote ulikuwa unabung'aa bung'aa tu. Halafu mwishoni Wageni (Wazungu) hao wakati Wanaaga ukaanza Kujitutumua na kuwaambia ' Thank You ' huku ukitamka kwa nguvu kabisa.
Mtangazaji Maulid Kitenge sasa huko Ulaya na Marekani unakoenda kila mara huwa unaongea na hao Wazungu Kiswahili au Kinyamwezi cha Kwenu Tabora au Kizaramo? Umetuaibisha mno Wanamichezo leo. Sijui Boss wako Nasib Abdul (alias) Diamond Platinumz amejisikiaje na hicho Kiingereza chako Kibovu.
Nampongeza sana Mtangazaji mwana Yanga SC mwenzako Yusuf Mkule Yeye alipoona tu Wazungu wameingia Studioni hapo Wasafi FM kwa kujua Kiingereza hajui (ila anachojua tu ni Kuichukia Simba SC) akajifanya kabanwa na Tumbo la Kuhara la ghafla na kwenda Msalani (Chooni) ambapo aliposikia tu Wazungu wameondoka Studioni Tumbo lake nalo likakata na akarejea Kuendelea na Kipindi.
Ushauri wangu Kwako Mtangazaji Maulid Kitenge punguza sana Mikogo (Sifa) Kupenda Kujionyesha hasa ukiwa huko ng'ambo (Ulaya na Marekani) bali tafuta Chuo kizuri ukajifunze Kiingereza na uweze angalau Kukijua na siyo Kujichoresha kama hivi leo.
Umemuaibisha sana leo Mwanao (Binti) Shadia Kitenge ambaye nakusifia unajitahidi mno kumsomesha Shule nzuri na bora huku nae pia ni Mwerevu (ana Akili) kwani baadhi ya Walimu wake ni Marafiki zangu. Kwa Kiingereza chako hicho Kibovu sijui Binti yako Shadia leo huko aliko anajisikiaje.
Au unaweza pia ukiwa hapa nchini Tanzania ule muda ambao unautumia sana Kutafuta Habari mbaya za Simba SC au Kuichokonoa au Kuiandama basi ukautumia kwenda pale British Council Posta ukajifunze Kiingereza na hatimaye nawe pia kuwa Wordsmith kama wengine.
Na nyie Wasafi FM siku zingine mkijua mna Wageni (hasa Wazungu) muwe mnampa hicho Kipindi Mtangazaji Msomi hasa na anayeijua vyema hiyo Lugha ya Kiingereza Ahmed Abdallah au hata mkamkopa Mtani wangu wa Kihaya Bonge David Runyagira wa Kipindi chenu cha Asubuhi aweze Kukiendesha na Kuwahoji Critically hao Wazungu na siyo kama alivyokuwa akifanya Maulid Kitenge ambaye muda mwingi alikuwa akicheka cheka tu na Kukenua hovyo Minjino yake.
Naamini hatonichukia bali atanielewa.
Kiingereza chako cha Kumkaribisha Mjerumani Mr. Alvaro kwa Kumwambia ' Welcome Tanzania ' badala ya kusema (Kumwambia) ' Welcome to Tanzania ' kilinifikirisha zaidi na Kusikitika.
Na ulivyo Msanii (Mjanja Mjanja) Kiingereza pekee ulichokielewa haraka wakati Mgeni Mr. Alvaro anaongea ni yale maneno ya ' Show ' na ' Number One ' ila Kwingine kote ulikuwa unabung'aa bung'aa tu. Halafu mwishoni Wageni (Wazungu) hao wakati Wanaaga ukaanza Kujitutumua na kuwaambia ' Thank You ' huku ukitamka kwa nguvu kabisa.
Mtangazaji Maulid Kitenge sasa huko Ulaya na Marekani unakoenda kila mara huwa unaongea na hao Wazungu Kiswahili au Kinyamwezi cha Kwenu Tabora au Kizaramo? Umetuaibisha mno Wanamichezo leo. Sijui Boss wako Nasib Abdul (alias) Diamond Platinumz amejisikiaje na hicho Kiingereza chako Kibovu.
Nampongeza sana Mtangazaji mwana Yanga SC mwenzako Yusuf Mkule Yeye alipoona tu Wazungu wameingia Studioni hapo Wasafi FM kwa kujua Kiingereza hajui (ila anachojua tu ni Kuichukia Simba SC) akajifanya kabanwa na Tumbo la Kuhara la ghafla na kwenda Msalani (Chooni) ambapo aliposikia tu Wazungu wameondoka Studioni Tumbo lake nalo likakata na akarejea Kuendelea na Kipindi.
Ushauri wangu Kwako Mtangazaji Maulid Kitenge punguza sana Mikogo (Sifa) Kupenda Kujionyesha hasa ukiwa huko ng'ambo (Ulaya na Marekani) bali tafuta Chuo kizuri ukajifunze Kiingereza na uweze angalau Kukijua na siyo Kujichoresha kama hivi leo.
Umemuaibisha sana leo Mwanao (Binti) Shadia Kitenge ambaye nakusifia unajitahidi mno kumsomesha Shule nzuri na bora huku nae pia ni Mwerevu (ana Akili) kwani baadhi ya Walimu wake ni Marafiki zangu. Kwa Kiingereza chako hicho Kibovu sijui Binti yako Shadia leo huko aliko anajisikiaje.
Au unaweza pia ukiwa hapa nchini Tanzania ule muda ambao unautumia sana Kutafuta Habari mbaya za Simba SC au Kuichokonoa au Kuiandama basi ukautumia kwenda pale British Council Posta ukajifunze Kiingereza na hatimaye nawe pia kuwa Wordsmith kama wengine.
Na nyie Wasafi FM siku zingine mkijua mna Wageni (hasa Wazungu) muwe mnampa hicho Kipindi Mtangazaji Msomi hasa na anayeijua vyema hiyo Lugha ya Kiingereza Ahmed Abdallah au hata mkamkopa Mtani wangu wa Kihaya Bonge David Runyagira wa Kipindi chenu cha Asubuhi aweze Kukiendesha na Kuwahoji Critically hao Wazungu na siyo kama alivyokuwa akifanya Maulid Kitenge ambaye muda mwingi alikuwa akicheka cheka tu na Kukenua hovyo Minjino yake.
Naamini hatonichukia bali atanielewa.