MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha ha ha ha.. Kazi kweli kweli!!!Huyu ni Haji Manara!
Ha ha ha ha ha ha ha.. Kazi kweli kweli!!!Huyu ni Haji Manara!
Sawa Maulid Kitenge a.k.a Welcome Tanzania.Yaani mtu kakosea kuweka "to" anaambiwa hajui kiingereza wakati neno welcome lilikuwepo ambapo kimsingi ni la kiingereza.
Au welcome ni la kiswahili?
Alafu hapa unawacheka watu hawajui kiingereza wakati hata wewe kiswahili chako tu kinakushinda kutofautisha baina ya kutojua kabisa na kukosea kidogo tu.
Mtu ambaye hajui ni yule ambae hapatii neno lolote la lugha hiyo,mfano wewe leo ukiambiwa tunga sentensi kwa kutumia lugha ya kiitaliano ukawa umejitungia maneno ambayo hayapo ukasema ni sentesi wewe sasa ndo hujui.
Mzungu akisema "naenda kuonana hamza" usiseme hajui kiswahili sema kakosea tu kuweka neno "na" kwa sababu maneno yote aliyoyaongea ni ya kiiswahili kuna neno hakuliweka tu kwa makosa,na hayo makosa yapo kwaac kila mtu ambaye anazungumza lugha ambayo sio ya kwake.
Narudia HAYO MAKOSA YAPO KWA KILA MTU AMBAYE ANAZUNGUMZA LUGH AMBAYO SIO YA KWAKE.
Sasa wewe ndugu unatafuuta makosa madogo madogo ya kusahau ama kukosea mtu hajaweka "to" kitu kidogo tu hicho wakati katamka neno "welcome" ambalo ni fefu kuliko hiyo "to" ambayo umeona hajaiweka.
Hebu mpongeze kwa kutamka neno refu "welcome" na msamehje kwa kuliaacha hilo fupi la "to"
Kuandika hivi sina maana kuwa nasema hajakosea hapana,bali ninamaanisha kuwa kuna vikosa vidogo kama hivi sio vya kuanzishia uzi utakuwa una gubu.
Hao wazungu wenyewe hawajawahi kumcheka mtu anaeomgea kiingereza kwa kukosea maadamu wanamuelewa basi wanaishi na wewe hivyo hivyo, WEWE NI NANI UNAWACHEEKA WATU NA KUWAKOSOA?
Hizi ni lugha tu mzee sio unaanzisha uzi kwa mambo kama haya.
Acha Bangi tafadhali Ndugu yangu sawa?habari yako Genta?
Kwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.Yaonekana zile safari zake za kwenda ughaibuni kila uchwao zinakutesa sana mtoa uzi, pambana nawe uende kama ni ndoto yako ama mfuate akujuze njia zake nawe uyaishi hayo.
Mwambieni ajifunze Kiingereza Wapuuzi nyie.Dah umeongea kwa hisia kali sana zenye chuki kidogo na za kujenga kwa mbaali japo hazitamfikia mhusika lakini ningependa tu kukujulisha kuwa Lugha ya kingereza hasa cha kuongea ni tatizo kubwa sana hapa nchini sio kwa watu tu wa kawaida bali hata viongozi, wafanyabiashara na watu maarufu wengi.
Tatizo kubwa nilionalo limetokana na lugha zetu mama kutufanya kuwa wagumu sana kunyumbulika na hii lugha labda kwa baadhi ya makabila ambayo ndimi zao ni laini sana ndio kidogo wanaweza kutamba nayo kama wachaga,wakurya ,wazaramo nk lakini watu kama wasukuma,wamasai,nk lugha hii inawasumbua sana.
Kibinafsi mimi sioni tatizo kutokuijua hii lugha au kumpa mtu shida wakati anaitumia shida yangu ni kwa watu hawa wanaocheka wenzao hasa pale anapoonekana kuhangaika katika kuitumia lugha hii ni jambo la kawaida sana katika kujifunza lugha. Kwani hata ukitizama wenzetu wanaokuja huku kutoka mataifa mbali mbali hutamani sana kupata fursa ya kujifunza lugha yetu cha ajabu wao wanapokosea huonekana si kitu cha ajabu kama inavyotokea tunapokosea sisi kwenye lugha zao hasa kingereza .
So inachotakiwa sisi kufanya ni kuacha sasa huu ushamba wa kumuona mtu anakosea kuongea lugha flani na kumcheka ni jambo la kawaida sana katika kujifunza lugha ambayo siyo yako.
Mimi huwa sioni tatizo lolote kawaida tu
Hasira zako za Kutokujua Kiingereza usizihamishie Kwangu tafadhali Wewe Hayawani ( Juha ) sawa?Ww nae ni mpuuzi tu kwahy kingereza ukijua ndio unapata hela chuki binafsi mkia ww
Ni mdhaifu ( mtopolo ) sana wa hiyo Lugha.Sifa kubwa ya mwandishi wa habari ni kujua lugha mbalimbali at least 2 za kimataifa.
Mojawapo ya kazi zao ni kufanya mahojiano na watu tofauti, wa mataifa tofauti.
Kama kweli amefanya hivyo ni kanjanja najua utopolo watamtetea ila ukweli utabaki kama ulivyo.
Iliyoongezeka kwa kuwa Mshabiki wa Yanga SC.Mtoa uzi ana chuki binafsi
ongeza sauti kidogo.Kwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.
Duuuuh! Kumbeeeeee!!! Jamaa ni biriani fulani hiviKwenda Ulaya na Marekani kuwa Chakula cha Watu ndiyo Ufahari? Usinilazimishe nifunguke zaidi kisha Mke mwingine nae akafungasha kama alivyofanya wa Kwanza ile Mitaa ya Slipway Masaki mkabala na Kijiwe cha Bakhressa.
Hamna Mtu hapo Kazi ni Sifa tu Mitandaoni na Mikogo mingi isiyo hata na Tija wala Mantiki.Hata mimi nilishangaa sana. Mzungu anawapongeza kwa kuwa kipindi kizuri cha michezo, Maulid anashindwa hata kuitikia "thank you". Imenifikirisha sana
Hacha uchonganishi Edo kivip weka evidence mwana kwetu kama ni EdoWew upo hpo hpo wasafi FM unamsema tu boss wako kijanja wew ni edo
Nililitarajia hili Ndugu ila Dozi imemfikia.Vilaza wenzake wamemtetea kwa povu jingi sana.
wengi watakamatwa uchawi .....Manara yeye anakupa za uso hawez subiri mpaka apite hukuHuyu ni Haji Manara!
Acha Bangi tafadhali Ndugu yangu sawa?
Sifa yangu Kuu ni Kufuatilia Jambo kwa Umakini, Kulisikia vyema na Kulichambua kwa marefu na mapana yake.Mimi niliguna nikajua nimesikia peke yangu.....
Hivi vitengo vingine inabidi wahusika wawe wanajiongezea sana hata kwa mazoezi ya mara kwa mara upande wa grammar ,pia tatizo hili huwakuta hawa ndg zetu askari traffic pale wanaposimamisha gari ya mgeni ambaye kiswahili kwake ni zero
Ahmed Abdallah ni Wordsmith sana tu.Kingereza noma sana nahisi wote kinawapiga chenga hapo studio