Mchambuzi Edgar Kibwana wa CMG kama Kiingereza chako ni cha Kubabaisha kama Changu uwe unatumia Mbinu hii ili Usikikosee na Usishtukiwe kuwa hukijui

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,646
109,022
Ukikutana na Mgeni hasa Mzungu au Mmarekani Mweusi halafu ukataka kufanya nae Mahojiano basi hakikisha Maswali yako yanakuwa ni mafupi mafupi na ya moja kwa moja sawa?

Muda mfupi uliopita nimekusikia Sports Extra ya Clouds FM ukitumia dakika 5 nzima Kuzunguka Kuuliza Swali la Sekunde 10 au 15 tu huku Ukichapia mno hadi Redio yenu nayo ikazima ghafla.

Kama Wakufunzi wako wa Chuo Kikuu ulichosoma ( UDOM ) kama sijakosea kama nao Walikusikiliza nina uhakika watakuwa si tu Wameumia bali watakuwa Wamekasirika mno kwa Kiingereza chako kibovu, cha Kujitafuta na cha Kubabaika.

Na uliponiacha hoi ni pale na Wewe ulipojifanya unaongea Kiingereza cha Kimarekani kwa Kuwaiga Wageni waliokuwepo Studio wakati ukikiharibu kwa Broken yako.

Nilijua nisiyejua Kiingereza Tanzania nzima ni Mimi tu GENTAMYCINE kumbe nina Mwenzangu ( Pacha wangu ) Edgar Kibwana Mchambuzi wa Mpira wa Miguu Clouds FM na Clouds Tv.

Pongezi nyingi kwa Mtani wangu wa Kiha ( kutoka Mkoani Kigoma ) Mtangazaji Prisca Kishamba ambaye Yeye kwa kujua hakijui Kiingereza ( japo anakipenda sana ) aliamua kutokuwa muuliza Maswali ya Kiingereza kwa Wageni na kukaa Kimya na hata Maswali Mawili ya Kiingereza aliyojitutumua Kuyauliza mwishoni alionekana kuwa alitumia muda mrefu Kuyakariri ( Kuyameza ) na aliyauliza kwa haraka sana utadhani kuna Mtu alikuwa anamdai Fedha hivyo anaogopa.
 
Ukikutana na Mgeni hasa Mzungu au Mmarekani Mweusi halafu ukataka kufanya nae Mahojiano basi hakikisha Maswali yako yanakuwa ni mafupi mafupi na ya moja kwa moja sawa...
Kuna mmoja nimemsikiliza sasa hivi baada ya mpira kumalizika kati ya KMC na AZAM nimekaa na mtoto wangu kasema huyu Mlimila hajui Kiingereza.

Kwenye sport wamejaa wajinga wengi sana Kitenge and Compay.
 
Kuna mmoja nimemsikiliza sasa hivi baada ya mpira kumalizika kati ya KMC na AZAM nimekaa na mtoto wangu kasema huyu Mlimila hajui Kiingereza.

Kwenye sport wamejaa wajinga wengi sana Kitenge and Compay.
Kutojua kiingereza ni ujinga!?.. ukoloni umekukaa Sana,kibanga alipambana na wakoloni wajukuu muwe huru lakini kumbe alifanya kazi Bure,bila shaka huvaa suti jua kali
 
Kuna mmoja nimemsikiliza sasa hivi baada ya mpira kumalizika kati ya KMC na AZAM nimekaa na mtoto wangu kasema huyu Mlimila hajui Kiingereza.

Kwenye sport wamejaa wajinga wengi sana Kitenge and Compay.
Kutojua kiingereza ni ujinga au kuamini kutojua kiingereza ni ujinga ndiyo ujinga wenyewe!?.. ukoloni haujakutoka kichwani
 
ni busara hizi media house kuwaandalia madarasa ya lugha staffs wake... japo walikuja na vyeti vya ufaulu lakini kingereza kisipotumika mda mrefu kinafutika, kinabaki cha kusoma tu... wawe wanapigwa brush, naonaga hata wa azam wanapataga shida kweli, mwanetu gift macha akihoji wazungu mpaka jasho linamtoka
 
Halafu kwa kuchomekea vineno vya kiingereza(kiswanglish) hawa watangazaji wa michezo unaweza kusema ung'eng'e umejaa sema tu anawatangazia wabongo wenzie kumbe hamna kitu.

Sema hata hivyo huku kuendelea kuchekana kwa kukosea kuongea kiingereza bora tungeacha tu maana inajulikana hii lugha ni changamoto kwetu uwe na elimu au usiwe na elimu, sasa kuendelea kuchekana haina maana yeyote.
 
ni busara hizi media house kuwaandalia madarasa ya lugha staffs wake... japo walikuja na vyeti vya ufaulu lakini kingereza kisipotumika mda mrefu kinafutika, kinabaki cha kusoma tu... wawe wanapigwa brush, naonaga hata wa azam wanapataga shida kweli, mwanetu gift macha akihoji wazungu mpaka jasho linamtoka
Ushauri mzuri sana huu, naunga mkono hii hoja.
 
Halafu kwa kuchomekea vineno vya kiingereza(kiswanglish) hawa watangazaji wa michezo unaweza kusema ung'eng'e umejaa sema tu anawatangazia wabongo wenzie kumbe hamna kitu.

Sema hata hivyo huku kuendelea kuchekana kwa kukosea kuongea kiingereza bora tungeacha tu maana inajulikana hii lugha ni changamoto kwetu uwe na elimu au usiwe na elimu, sasa kuendelea kuchekana haina maana yeyote.
😁😁😁Maneno Yao makubwa wanayopenda kuchomekea ni though, tactically,win win situation,back to back, consecutive.mengine mtajazia.
 
Ukikutana na Mgeni hasa Mzungu au Mmarekani Mweusi halafu ukataka kufanya nae Mahojiano basi hakikisha Maswali yako yanakuwa ni mafupi mafupi na ya moja kwa moja sawa?

Muda mfupi uliopita nimekusikia Sports Extra ya Clouds FM ukitumia dakika 5 nzima Kuzunguka Kuuliza Swali la Sekunde 10 au 15 tu huku Ukichapia mno hadi Redio yenu nayo ikazima ghafla.

Kama Wakufunzi wako wa Chuo Kikuu ulichosoma ( UDOM UNIVERSITY ) kama sijakosea kama nao Walikusikiliza nina uhakika watakuwa si tu Wameumia bali watakuwa Wamekasirika mno kwa Kiingereza chako kibovu, cha Kujitafuta na cha Kubabaika.

Na uliponiacha hoi ni pale na Wewe ulipojifanya unaongea Kiingereza cha Kimarekani kwa Kuwaiga Wageni waliokuwepo Studio wakati ukikiharibu kwa Broken yako.

Nilijua nisiyejua Kiingereza Tanzania nzima ni Mimi tu GENTAMYCINE kumbe nina Mwenzangu ( Pacha wangu ) Edgar Kibwana Mchambuzi wa Mpira wa Miguu Clouds FM na Clouds Tv.

Pongezi nyingi kwa Mtani wangu wa Kiha ( kutoka Mkoani Kigoma ) Mtangazaji Prisca Kishamba ambaye Yeye kwa kujua hakijui Kiingereza ( japo anakipenda sana ) aliamua kutokuwa muuliza Maswali ya Kiingereza kwa Wageni na kukaa Kimya na hata Maswali Mawili ya Kiingereza aliyojitutumua Kuyauliza mwishoni alionekana kuwa alitumia muda mrefu Kuyakariri ( Kuyameza ) na aliyauliza kwa haraka sana utadhani kuna Mtu alikuwa anamdai Fedha hivyo anaogopa.
UDOM University ndiyo iko wapi?
 
Ukikutana na Mgeni hasa Mzungu au Mmarekani Mweusi halafu ukataka kufanya nae Mahojiano basi hakikisha Maswali yako yanakuwa ni mafupi mafupi na ya moja kwa moja sawa?

Muda mfupi uliopita nimekusikia Sports Extra ya Clouds FM ukitumia dakika 5 nzima Kuzunguka Kuuliza Swali la Sekunde 10 au 15 tu huku Ukichapia mno hadi Redio yenu nayo ikazima ghafla.

Kama Wakufunzi wako wa Chuo Kikuu ulichosoma ( UDOM UNIVERSITY ) kama sijakosea kama nao Walikusikiliza nina uhakika watakuwa si tu Wameumia bali watakuwa Wamekasirika mno kwa Kiingereza chako kibovu, cha Kujitafuta na cha Kubabaika.

Na uliponiacha hoi ni pale na Wewe ulipojifanya unaongea Kiingereza cha Kimarekani kwa Kuwaiga Wageni waliokuwepo Studio wakati ukikiharibu kwa Broken yako.

Nilijua nisiyejua Kiingereza Tanzania nzima ni Mimi tu GENTAMYCINE kumbe nina Mwenzangu ( Pacha wangu ) Edgar Kibwana Mchambuzi wa Mpira wa Miguu Clouds FM na Clouds Tv.

Pongezi nyingi kwa Mtani wangu wa Kiha ( kutoka Mkoani Kigoma ) Mtangazaji Prisca Kishamba ambaye Yeye kwa kujua hakijui Kiingereza ( japo anakipenda sana ) aliamua kutokuwa muuliza Maswali ya Kiingereza kwa Wageni na kukaa Kimya na hata Maswali Mawili ya Kiingereza aliyojitutumua Kuyauliza mwishoni alionekana kuwa alitumia muda mrefu Kuyakariri ( Kuyameza ) na aliyauliza kwa haraka sana utadhani kuna Mtu alikuwa anamdai Fedha hivyo anaogopa.
hamuonagi patrick nyembera...hajui lkn anajua kwendana nao
 
Back
Top Bottom