Mtaka hujui kusema Makonda yuko sahihi 100% kinakupunguzia ushawishi ndani na nje ya CCM? Ungekaa kimya ingefaa zaidi

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,794
3,361
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, kwenye kipindi cha Dakika 45 cha ITV, cha kila Jumatatu, kaonyesha misimamo yake.

Kuwa, anapenda aone wananchi wana uelewa wa kutosha kuhusu maono ya Mama yetu Raisi.

Na kuwa yeye (Mtaka) hukaa na viongozi wenzake kutafsiri na kutekeleza maono na matarajio ya Raisi kwa vitendo yale waliyoyapanga.

Hivi, nikimwuliza Makonda aliwahi kukaa na nani na kikao gani kujadili namna ya kuimplement maono ya Rais? Hasa kuhusu sera za nchi (maono ya Rais) ya masuala ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi, maliasili nk?

Je, anao huo uwezo? Ukimlinganisha na walioshika nafasi ya Unezi kipindi cha nyuma?

Kwa Mtaka kusema unamkubali,siyo Uchawa ambao uliukataa kwenye mahojiano yako?

Naamini kuna asilimia kubwa ya wananchi walianza kukubali kuwa unapenda haki,ila kwa kauli yako ya kumuunga mkono huyo jamaa, umegawa watu.

Sina uhakika kama uko humu jamvini, ila umetia doa. Unayoyaongea na kutenda yawezekana ni uchawa zaidi.
 
 
Jitahidini kuwa mnaombea viongozi bila kujal unampenda au humpendi maana Ni wajibu. Then Mungu baba atakupa ajenda kwa uaminifu wako ndo utawaona walivo uchi mioyoni mwao hamna KITU lakin USIACHE kuomba. Ndioyo utaratibu.

Makonda yy akisahihishe tu anajua tabia zake mwenyewe za sirini ila hakuna Siri tunanyamaza sbb nae Ni mlemavu kila Mtu anaulemavu wake. Kuongea sio issue
 
Mtaka alilelewa ukweni Morogoro, halafu sio mtu makini saana kwa sababu hajakutana na changamoto. Dodoma ilimtoa jasho ikabidi apelekwe kuongoza miparachichi na paini.

Ni dikteta na ana u-Yego Chikaka na U-Yego Jaji. Hafuati utawala wa sheria, anabeba watoto wa watu, nje ya sheria, anawaweka kwenye mapagale lwa kisingizio eti ni makambi ya kusoma, ukimuuliza kwa sheria ipi unaweka watoto hapo hana jibu.

Ni wa kawaida sana, pia akiwa RC Dodoma, kampuni ya mkwewe ya kufyatua tofali ilipata tenda za mkoa mzima
 
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, kwenye kipindi cha Dakika 45 cha ITV, cha kila Jumatatu, kaonyesha misimamo yake.

Kuwa, anapenda aone wananchi wana uelewa wa kutosha kuhusu maono ya Mama yetu Raisi.

Na kuwa yeye (Mtaka) hukaa na viongozi wenzake kutafsiri na kutekeleza maono na matarajio ya Raisi kwa vitendo yale waliyoyapanga.

Hivi, nikimwuliza Makonda aliwahi kukaa na nani na kikao gani kujadili namna ya kuimplement maono ya Rais? Hasa kuhusu sera za nchi (maono ya Rais) ya masuala ya Kilimo, Mifugo, Uvuvi, maliasili nk?

Je, anao huo uwezo? Ukimlinganisha na walioshika nafasi ya Unezi kipindi cha nyuma?

Kwa Mtaka kusema unamkubali,siyo Uchawa ambao uliukataa kwenye mahojiano yako?

Naamini kuna asilimia kubwa ya wananchi walianza kukubali kuwa unapenda haki,ila kwa kauli yako ya kumuunga mkono huyo jamaa, umegawa watu.

Sina uhakika kama uko humu jamvini, ila umetia doa. Unayoyaongea na kutenda yawezekana ni uchawa zaidi.
Hata Mimi na familia yangu tunamuunga mkono Makonda. Kajinyonge
 
Mtaka alilelewa ukweni Morogoro, halafu sio mtu makini saana kwa sababu hajakutana na changamoto. Dodoma ilimtoa jasho ikabidi apelekwe kuongoza miparachichi na paini.

Ni dikteta na ana u-Yego Chikaka na U-Yego Jaji. Hafuati utawala wa sheria, anabeba watoto wa watu, nje ya sheria, anawaweka kwenye mapagale lwa kisingizio eti ni makambi ya kusoma, ukimuuliza kwa sheria ipi unaweka watoto hapo hana jibu.

Ni wa kawaida sana, pia akiwa RC Dodoma, kampuni ya mkwewe ya kufyatua tofali ilipata tenda za mkoa mzima
Chuki
 
Back
Top Bottom