Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,993
- 64,034
Death comes first. Before immortality.imortality is a reward for a life well lived
Death comes first. Before immortality.imortality is a reward for a life well lived
Upo mkoa gani, au jiji gani mkuu?Namtaji wa milioni kumi wadau naitaj kujua nibiashara gani naweza fanya angalau nikapata faida ya milion moja kwa mwez
Nipo morogoro mjini mkuuUpo mkoa gani, au jiji gani mkuu?
Mzgo gani mkuuFanya kautafiti cha Bei ya mazao ya nafaka Sokoni - DSM.
Kisha Kodisha Lori, nenda Mbeya kanunue mzigo mkubwa kisha uje uwauzie kwa Bei ya jumla.
Madawa yameruuhusiwa upyaaaHabari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Dah unataka mtu ajinyonge weweNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Hiyo hapanaKopesha watu warudishe kwa riba.
Kwangu ni big noNjoo tuanze kubet,
Leo Ni R Madrid v PSG.
Mpe PSG weka pesa yote 5mil kesho utakuwa na 10+Mil.
Mkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.Habari kuna sehemu nilikuwa nimeajiriwa sasa nimejikusanya na kupata milioni 5 baada ya mkataba wangu kuisha nifanye biashara gani ya kuingiza faida ya isiyopungua 30000 kwa siku ushauri wenu ni mhimu sana asanteni sana.
Mkuu unafahamu kuendesha boda? Kama unafahamu ungechukuwa 2M ukanunua pikipiki ukapiga kazi.
Kama haufahamu au hauna interests basi tafuta mtu unayeweza kuingia nae mkataba umpe aendeshe yeye. Hautapata 30K kwa siku ukimpa mtu ila angalau unaweza kufikisha nusu yake...