Asante kwa ushauri mzuri kumbe hata kazi unatakaMilion 10 kamtaji? wew ...!! Kma ulipta pesa za ulithi sawa ila kma kuna shughul imefanya upate hiyo pesa komaa nayo ila kama not basi fanya utafiti wa biashara unayopenda kufnya na usiwekeze zote hzo pesa weka hta mil 2 kwanza then upate mrejesho utakuaje .
Nb: ukitaka mfanykaz niko hpa nitafnya kwa moyo .