Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 436
- 934
Salam. Wakuu Mimi ni kijana Ambae napambana kujiokoa na umaskini.
Mimi ndo mtoto wa kwanza nyumban kwetu na ndo mtu naetegemewa na wazazi wangu niwakomboe
Na Mimi ni maskini ndugu zangu ni maskini yaani familia nzima naweza kusema kama umaskini ni baraka basi tumebarikiwa na kama ni laana basi laana tunayo
Sasa wakuu naombeni mnipe muongozo natokaje yaani kwa huo mtaji wangu ni biashara gani naweza kuifanya na nikapata faida
Karibuni kwa mawazo natanguliza shukrani
Mimi ndo mtoto wa kwanza nyumban kwetu na ndo mtu naetegemewa na wazazi wangu niwakomboe
Na Mimi ni maskini ndugu zangu ni maskini yaani familia nzima naweza kusema kama umaskini ni baraka basi tumebarikiwa na kama ni laana basi laana tunayo
Sasa wakuu naombeni mnipe muongozo natokaje yaani kwa huo mtaji wangu ni biashara gani naweza kuifanya na nikapata faida
Karibuni kwa mawazo natanguliza shukrani