Helenshija
Member
- Aug 3, 2022
- 8
- 7
Mstaafu Lema, nimeona Tweet yako ya leo iliyojaa fitina na ukosoaji wa vijana wenzako walipata nafasi ya kuitumia nchi yetu kwa weledi mkubwa.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.
Inasikitisha sana kutokuona juhudi zinazofanywa na vijana hawa kwa nguvu na jasho la damu kupigania Watanzania iwe sehemu bora zaidi.
Hata kama unaichukia Tanzania "kama ulivyoikimbia nchi yako "... tuachie sisi tunaoipenda tuishi kwa amani.