Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Utazoea tu maisha ya kuwa timamu... Nauwakika pombe aukuanza ukiwa mtoto mchanga lakini ulikua unaenjoy maisha, na ndio hvo na wakati huu utayainjoi maisha tu bila pombe jipe muda...
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Wanaishia kupapasa na kulala usingizi
 
Kweli mkuu, inafikia hatua nikiwa kiwanja kwa wale walionizoea wananiletea chupa kadhaa, inabidi wale walioko karibu yangu wazitumie.

Ingawa niko kama vile kifungoni; sioni umuhimu wa vingine kwa sababu ile furaha 'vibe' sina.​
Hauko kifungoni, unatoka kifungoni kuja kwny uhuru.. pombe haijawahi muacha mtu salama abadani
 
sijui starehe yangu nini, lakini sitamani kabisa kuja kunywa hata kujua radha ya kilevi chochote maishani mwangu.
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Nilijuwa haiwezekani
Kumbe inawezekana. Mwaka sasa sinywi kabisaa
Narudi home mapema
Nanununuq vitu nivipendqvyo badala ya TUNGI TUU MPAKA UNACHAKAA
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Welcome to the club...
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Anza na ugoro usipoelewa
Piga ganja tena high grade
Alaf Kuna mirungi
Bado shishaaa
Sigaraa kama zote
Mbona vilevi vingi tuh acha kujitesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom