Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Unahuzunika kutokula kitu kinachokidhuru? Kama umeacha pombe,juisi pia sio option nzuri kwako mkuu
Kweli mkuu, inafikia hatua nikiwa kiwanja kwa wale walionizoea wananiletea chupa kadhaa, inabidi wale walioko karibu yangu wazitumie.

Ingawa niko kama vile kifungoni; sioni umuhimu wa vingine kwa sababu ile furaha 'vibe' sina.​
 
Niliacha pombe japo huwa nazimiss ila toka niache pombe nimebadilika physically, mentally na financially
Je kuacha kwako pombe kumekupa furaha yoyote kimaisha?
Mi kwangu naona ni mateso, ata umuhimu wa kutafuta hela nyingi unakuwa haupo, kwa sababu matumizi yanayonipa furaha hayapo.​
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
"Sisi" tusiokunywa pombe mambo yetu makuu tukikutana ni uongo,kusengenya,kuzusha mambo,kuona wanywaji wa pombe kama mashetani,kuhamahama vijiwe na kutafuta habari zinazofurahisha kwa muda hata kama ni za ujingaujinga,kuigiza ni Wacha Mungu na kufanya heshima za kinafiki.Vilevile kujifanya ni watu smarts vichwani wakati si kweli kama tukipimwa tusiokunywa kumi lazima vilaza wanane watapatikana.Karibu sana mkuu utapatiwa na kadi ya Uanachama.
 
"Sisi" tusiokunywa pombe mambo yetu makuu tukikutana ni uongo,kusengenya,kuzusha mambo,kuona wanywaji wa pombe kama mashetani,kuhamahama vijiwe na kutafuta habari zinazofurahisha kwa muda hata kama ni za ujingaujinga,kuigiza ni Wacha Mungu na kufanya heshima za kinafiki.Vilevile kujifanya ni watu smarts vichwani wakati si kweli kama tukipimwa tusiokunywa kumi lazima vilaza wanane watapatikana.Karibu sana mkuu utapatiwa na kadi ya Uanachama.
Hicho chama sikiwezi ni kigumu sana, ata umuhimu wa hela haunekani.
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Nyeto na bangi
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Ni kwasababu we bado unajali sana kunywa pombe,uwazalo ndilo utaendelea kuwaza,chakufanya nikuondoa hilo wazo kichwani mwako,,kaa mbali sana na hiyo kitu,kunywa tu maji au juice basi,then utafaulu.
 
Ni kwasababu we bado unajali sana kunywa pombe,uwazalo ndilo utaendelea kuwaza,chakufanya nikuondoa hilo wazo kichwani mwako,,kaa mbali sana na hiyo kitu,kunywa tu maji au juice basi,then utafaulu.
Inawezekana mwanzo ukawa ni mgumu, ngoja nisubiri baada ya miezi sita kama nitafaulu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom