Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

ukiuendekeza mwili lazima ufe bia ni takataka haikup furaha ya kweli MIE TANGU NIMEANZA KUMFUATA OLUMBA KRISTO ALIYERUD NINA FURAHA KULIKO UNAVYO CHUA SODA SINYWI NYAMA SILI NINA AMAN NA FURAHA SANA
Kwa hayo mavazi na ngozi inafikirisha sana
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
HUjui tu starehe ya kwenda massage, hutahtaji pombe hata kidogo.
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Anza kuvuta mpepe a.k.a cha Arusha, hautojutia mkuu.
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​

Kama ungefanikiwa kusikiliza wimbo wa waswahili -kila mtu na starehe yake nadhani usingeuliza hilo swali.


View: https://www.youtube.com/watch?v=6PtLkQlbzQA&list=RD6PtLkQlbzQA&start_radio=1
 
Bangi zangu stick mbili,juice ya nanasi cake pakti tatu na playstation 4 yangu nikicheza GTA v au mortal kombat
 
Zile ni hadithi za wazungu tu katika kututengenezea mazingira ya kututawala.
hahahahaha unasema ivyo kwa kuwa haujitambui njia ya kwanza kumjua Mungu ni kujitambua na ukikana kuwa sio kweli hauna utofauti na binadamu anayekana pumzi ya uhai hauioni ila ipo .....OOO POWER OLUMBA IS MIGHTY KING WHO COMES TO RULE WAIT AND SEE
 
hahahahaha unasema ivyo kwa kuwa haujitambui njia ya kwanza kumjua Mungu ni kujitambua na ukikana kuwa sio kweli hauna utofauti na binadamu anayekana pumzi ya uhai hauioni ila ipo .....OOO POWER OLUMBA IS MIGHTY KING WHO COMES TO RULE WAIT AND SEE
Huwa anatembelea wafungwa? huwa anasaidia masikini? huwa anatembelea wagonjwa hospitalini?
Au ndio ile leteni sadaka/michango ili niweze kuishi kama mfalme?​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom