Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Msiokunywa pombe, mnastarehe vipi?

Nenda kausikilize vizuri na kuutafakari wimbo wa rose muhando, POMBE INA MADHARA
 
ukiuendekeza mwili lazima ufe bia ni takataka haikup furaha ya kweli MIE TANGU NIMEANZA KUMFUATA OLUMBA KRISTO ALIYERUD NINA FURAHA KULIKO UNAVYO CHUA SODA SINYWI NYAMA SILI NINA AMAN NA FURAHA SANA
 

Attachments

  • FB_IMG_1751800733897.jpg
    FB_IMG_1751800733897.jpg
    33.5 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1751746402075.jpg
    FB_IMG_1751746402075.jpg
    53.5 KB · Views: 19
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Mimi sinywi pombe na nafurahia maisha kwa kumtukuza Mungu bila kupepesukapepesuka.
Si unamwona masele cha pombe anavyopata shida barabarani?
 
Hivi huwa nn side effects ya weed?
Effects za weed ni kama vile short memory kuathirika kwa muda mfupi (ukiwa high), kuwa na njaa kali na kuwa emotional sana (itafuatana sasa emotion gani Iko triggered).
Kwa uzoefu wangu naona weed ina tabia ya kuchochea kitu ambacho tayari kipo ndani yako.
Kama ni mbunifu, utakuwa mara mbili yake. Kama ni minguvu, utapiga kazi balaa.
Balaa ni kama mtu ni short-tempered au lipumbavu..
 
Je kuacha kwako pombe kumekupa furaha yoyote kimaisha?
Mi kwangu naona ni mateso, ata umuhimu wa kutafuta hela nyingi unakuwa haupo, kwa sababu matumizi yanayonipa furaha hayapo.​
Sijapata furaha yoyote nilijaribu bangi ila nayo ikagoma in short cjapata furaha yoyote kama niliyokua napata kwenye pombe
 
Kunywa pombe tu mkuu, usiwaze sana we kunywa tu
Sasa ukiambiwa unachangamoto za kiafya je zitatoka kwa kunywa pombe? Pombe ni mlango wa shetani kama utakunywa na kulewa.Utaanza kupata hamu ya kufanya mambo yasiyofaa kwa raha za shetani.Ukilewa shetani anachukua usukani na kufanya atakayo kwa kutumia mwili wako.
 
Kutokana na changamoto za kimwili na kiafya, nimeshauriwa niache kwa muda kunywa pombe.

Sasa najihisi kama niko kifungoni, sifurahii maisha kabisa; nakunywa juisi, soda, maji n.k nyama zote nakula, natembea kutoka pointi moja hadi nyingine, totozi hakuna shida.

Pamoja na yote hayo, naona sifurahii maisha kabisa kwa sababu ya kutokunywa pombe, najiona napwaya kabisa.

Kama ni viwanja, wale wakaribu yangu watakunywa pombe ila mimi napiga tu maji na juisi tu.

Wakuu, msiokunywa pombe, mnafurahiaje maisha?​
Wengi wao ni wapiga punyeto tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom