PreGE2025 Msimamo wa Rais Samia juu ya kurekebisha kanuni, kauli za viongozi wa dini wakati wa pasaka, zinaweza kuipeleka Tanzania kwenye mgawanyiko wa kidini

PreGE2025 Msimamo wa Rais Samia juu ya kurekebisha kanuni, kauli za viongozi wa dini wakati wa pasaka, zinaweza kuipeleka Tanzania kwenye mgawanyiko wa kidini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
14,176
Reaction score
25,919
Kuna wakati lazima viongozi wetu wawe na uwezo wa kuona mbali kwamba wanapaswa kutokweka misimamo ambayo athari zake zitakuwa mbaya huko mbeleni.

In fact, kuwa na msimamo tofauti na matakwa ya wengi na ushauri wa watu wenye hekima ni kuwa na kiburi

Hili suala la kubadili kanuni za uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye atasema kanuni zetu hazina tatizo, hata walio ndani ya CCM wanajua kwamba ni kweli zina tatizo na zimelenga kuwanufaisha wao. CCM wanachosema hadharani ni kauli za mdomoni tu, lakini wanajua kwamba madai ya Lisu na Chadema yake yana msingi.

Kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kujiuliza; ubaya wa ushauri wa kubadili kanuni za uchaguzi ni nini?

Sasa Raisi Samia anapotoa kauli pinzani ili aonekane ana mismamo kama kiongozi, hasa baada ya kauli za viongozi wa dini kipindi hiki cha pasaka zilizoonyesha kwamba serikali inapaswa kusikiliza malalamiko kuhusu kanuni za uchaguzi na kuzifanyia kazi, matamko yeyote dhidi ya ushauri huo wa viogozi wa kidini ni kuleta mgawanyiko wa kidini nchini. Siku zote waumini wanatarajia viongozi wao wa kidini waheshimiwe katika wanayosema.

Raisi Samia anapaswa kuelewa kwamba anavyoshughulika na suala hili, kama asipotumia busara, nchi hii itaanza kupiga kura katika misingi ya udini. Serikali ya Samia inapoanza kuwabeza viongozi wa dini waliotoa matamko kuhusu kurekebishwa kwa kanuni za uchaguzi, watakuwa wanafanya kosa linaloweza kuigharimu nchi hii kwa kiwango cha juu sana.

Kuna makundi mawili nchini ambayo raisi mwenye busara anapaswa kuwa makini sana wanapotoa malalamiko - waalimu na viongozi wa dini. Haya makundi yako kwenye nafasi ya kuamua nani awe raisi wa nchi kwa sababu wana mfikio (access) kwa wapiga kura wengi sana nchini. Sahau hili kwa gharama yako mwenyewe.
 
Kuna wakati lazima viongozi wetu wawe na uwezo wa kuona kwamba wanapaswa kutokweka misimamo ambayo athari zako zitakuwa mbaya huko mbeleni.

Hili suala la kubadili kanuni za uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye atasema kanuni zetu hazina tatizo, hata walio ndani ya CCM wanajua kwamba ni kweli zina tatizo na zimelenga kuwanufaisha wao. CCM wanachosema hadharani ni kauli za mdomoni tu, lakini wanajua kwamba madai ya Lisu na Chadema yake yana msingi.

Kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kujiuliza; ubaya wa ushauri wa kubadili kanuni za uchaguzi ni nini?

Sasa Raisi Samia anapotoa kauli pinzani ili aonekane ana mismamo kama kiongozi, hasa baada ya kauli za viongozi wa dini kipindi hiki cha pasaka zilizoonyesha kwamba serikali inapaswa kusikiliza malalamiko kuhusu kanuni za uchaguzi na kuzifanyia kazi, matamko yeyote dhidi ya ushauri huo wa viogozi wa kidini ni kuleta mgawanyiko wa kidini nchini.

Raisi Samia anapaswa kuelewa kwamba anavyoshughulika na suala hili, kama asipotumia busara, nchi hii itaanza kupiga kura katika misingi ya udini. Serikali ya Samia inapoanza kuwabeza viongozi wa dini waliotoa matamko kuhusu kurekebishwa kwa kanuni za uchaguzi, watakuwa wanafanya kosa linaweza kuigharimu nchi hii kwa kiwango cha juu sana.

Kuna makundi mawili nchini ambayo raisi mwenye busara anapaswa kuwa makini sana wanapotoa malalamiko - waalimu na viongozi wa dini. Haya makundi yako kwenye nafasi ya kuamua nani awe raisi wa nchi kwa sababu wana mfikio (access) kwa wapiga kura wengi sana nchini. Sahau hili kwa gharama yako mwenyewe.
Hasa viongozi wa dini
Asichukulie poa
Cha ajabu pamoja na tofauti zote zilizopo linapokuja suala la dini wakristo bila kujali madhehebu yao huwa lao moja awe makini

Na upande wake ,waliweka sharia zao kuhusu mwanamke na uongozi sijui atatobolea wapi
 
Both Muslims and Christians wanazungumza lugha moja. Ukiona shiekh au mchungaji anazungumza tofauti jua uyo ni pandikizi kama mapandikizi mengine. Ni chizi tu asiye ona kuwa tunahitaji mabadiliko... tena sio mabadiliko ya favor za ccm ni mabadiliko ya LAZIMA
Nimeona hilo, kwa upande wa pili sana sana nimemsikia Ponda peke yake, labda kama sijaona vizuri. Msimamo wa Ponda unaeleweka. Ninachoelewa wengi upande wa Waislamu wamekuwa kimya juu ya suala hili ambalo liko wazi sana, na limeumiza Wakristo na Waislamu walio upande wa vyama vya upinzani.

Sasa kwangu mimi, viongozi wengi wa Waislamu kuwa kimya katika suala kama hili lililo wazi sana, ni kwamba tayari ni ishara za kuigawanya hii nchi kidini. Kwa nini majority ya viongozi wa Kiislamu wawe kimya wakati wakijua kanuni zilizopo zinaumiza hata Waislamu walio upinzani?

Kwa nini viongozi wa Waislamu walio wengi,m ukimtoa Ponda, wanataka kulifanya suala la ubovu wa kanuni za uchaguzi ni la kukemewa na viongozi wa dini za Kikristo peke yao?
 
Kidini utagawanyika wewe lakini mimi huwezi ukanigawa naamini hata wenye ufahamu stable watakuwa wameenielewa.

Simchukii sa100 kwa sababu ni muislam namchukia kwa sababu kwanza ni mwanamke kingine hakuna anachofanya kwenye nafasi ya uraisi anacheka cheka ujinga tu,ujinga wa kukimbilia dini ukweli unaposemwa ni tabia za wajinga kwani waislam wangapi Samia amewasaidia personal japokuwa ni rais?Wakristo pia mara ngapi raisi Mkristo amewasaidia personal kuwafuata mmoja mmoja anampa hiki anampa kile?tuache ujinga wa dini tupiganie taifa kuwa na fursa za kusaidia jamii zetu kwa ujumla wao huko juu wanashiba sisi huku chini tunazungumza ujinga wa uislam na ukrito huku njaa na maradhi vikitumaliza.
 
Kuna wakati lazima viongozi wetu wawe na uwezo wa kuona kwamba wanapaswa kutokweka misimamo ambayo athari zako zitakuwa mbaya huko mbeleni.

Hili suala la kubadili kanuni za uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye atasema kanuni zetu hazina tatizo, hata walio ndani ya CCM wanajua kwamba ni kweli zina tatizo na zimelenga kuwanufaisha wao. CCM wanachosema hadharani ni kauli za mdomoni tu, lakini wanajua kwamba madai ya Lisu na Chadema yake yana msingi.

Kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kujiuliza; ubaya wa ushauri wa kubadili kanuni za uchaguzi ni nini?

Sasa Raisi Samia anapotoa kauli pinzani ili aonekane ana mismamo kama kiongozi, hasa baada ya kauli za viongozi wa dini kipindi hiki cha pasaka zilizoonyesha kwamba serikali inapaswa kusikiliza malalamiko kuhusu kanuni za uchaguzi na kuzifanyia kazi, matamko yeyote dhidi ya ushauri huo wa viogozi wa kidini ni kuleta mgawanyiko wa kidini nchini. Siku zote waumini wanatarajia viongozi wao wa kidini waheshimiwe katika wanayosema.

Raisi Samia anapaswa kuelewa kwamba anavyoshughulika na suala hili, kama asipotumia busara, nchi hii itaanza kupiga kura katika misingi ya udini. Serikali ya Samia inapoanza kuwabeza viongozi wa dini waliotoa matamko kuhusu kurekebishwa kwa kanuni za uchaguzi, watakuwa wanafanya kosa linaweza kuigharimu nchi hii kwa kiwango cha juu sana.

Kuna makundi mawili nchini ambayo raisi mwenye busara anapaswa kuwa makini sana wanapotoa malalamiko - waalimu na viongozi wa dini. Haya makundi yako kwenye nafasi ya kuamua nani awe raisi wa nchi kwa sababu wana mfikio (access) kwa wapiga kura wengi sana nchini. Sahau hili kwa gharama yako mwenyewe.
Ndio ajenda mumeisuka Sasa mnaitetea Kupitia makanisani.

Samia is here to stay na mamlaka ziwadhibiti.
 
Hasa viongozi wa dini Asichukulie poa Cha ajabu pamoja na tofauti zote zilizopo linapokuja suala la dini wakristo bila kujali madhehebu yao huwa lao moja awe makini

Na upande wake ,waliweka sharia zao kuhusu mwanamke na uongozi sijui atatobolea wapi
Samia anapaswa kushukuru sana nafasi ya kuwa Raisi wa Tanzania, kwa sababu hizo asingeweza kuwa Raisi wa Zanzibar hata siku moja! Awe mnyenyekevu basi.
 
Ndio ajenda mumeisuka Sasa mnaitetea Kupitia makanisani.

Samia is here to stay na mamlaka ziwadhibiti.
Sikio lakufa halisikii dawa. Nyie endeleeni tu kuleta visingizio. Na JWTZ wanaangalia tu waone ni wakati gani itafikia waseme enough is enough. Msifikiri mtu wa kumwangalia ni Lissu na Chadema peke yao. Kuna siku mtajuta.
 
Sikio lakufa halisikii dawa. Nyie endeleeni tu kuleta visingizio. Na JWTZ wanaangalia tu waone ni wakati gani itafikia waseme enough is enough. Msifikiri mtu wa kumwangalia ni Lissu na Chadema peke yao. Kuna siku mtajuta.
Kwani wakifanya hivyo ni faida Yako au ya kwao?

Mhaini lazima adhibitiwe.
 
Kidini utagawanyika wewe lakini mimi huwezi ukanigawa naamini hata wenye ufahamu stable watakuwa wameenielewa.
Kwa hiyo hao viongozi waliotoa kauli wakati wa pasaka walitoa hotuba ambazo waumini wao walizipuuza? Unajua waliyosema yana athari gani kwa waumini wao? Sasa huo sio msukumo wa kuwageuza watu kidini katika siasa? Unapaswa uwe na uwezo mzuri wa kufanya analysis
 
Kwani wakifanya hivyo ni faida Yako au ya kwao?

Mhaini lazima adhibitiwe.
Katika Sinema ya Sarafina, nilifurahia sana jibu la Sarafina kwa askari aliposema "you are a trouble maker"

Sarafina alisema trouble makers wapo vituo vya polisi wamevaa uniform.

Sasa na wewe, wahaini wapo ndani ya CCM wakiita watu wengine wahaini
 
Kwani wakifanya hivyo ni faida Yako au ya kwao?

Mhaini lazima adhibitiwe.
OHohohohoho.
Ajaye ni mwanaume tuendelee kusubiri.
Maaskofu waendelee kumwaga upupu tujikune.
Haiwezekani watu wakalie viti kabla ya kipenga kupulizwa.
Upupu umwagwe tujikune wote
 
Kuna wakati lazima viongozi wetu wawe na uwezo wa kuona kwamba wanapaswa kutokweka misimamo ambayo athari zako zitakuwa mbaya huko mbeleni.

Hili suala la kubadili kanuni za uchaguzi hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye atasema kanuni zetu hazina tatizo, hata walio ndani ya CCM wanajua kwamba ni kweli zina tatizo na zimelenga kuwanufaisha wao. CCM wanachosema hadharani ni kauli za mdomoni tu, lakini wanajua kwamba madai ya Lisu na Chadema yake yana msingi.

Kila Mtanzania mwenye akili anapaswa kujiuliza; ubaya wa ushauri wa kubadili kanuni za uchaguzi ni nini?

Sasa Raisi Samia anapotoa kauli pinzani ili aonekane ana mismamo kama kiongozi, hasa baada ya kauli za viongozi wa dini kipindi hiki cha pasaka zilizoonyesha kwamba serikali inapaswa kusikiliza malalamiko kuhusu kanuni za uchaguzi na kuzifanyia kazi, matamko yeyote dhidi ya ushauri huo wa viogozi wa kidini ni kuleta mgawanyiko wa kidini nchini. Siku zote waumini wanatarajia viongozi wao wa kidini waheshimiwe katika wanayosema.

Raisi Samia anapaswa kuelewa kwamba anavyoshughulika na suala hili, kama asipotumia busara, nchi hii itaanza kupiga kura katika misingi ya udini. Serikali ya Samia inapoanza kuwabeza viongozi wa dini waliotoa matamko kuhusu kurekebishwa kwa kanuni za uchaguzi, watakuwa wanafanya kosa linaloweza kuigharimu nchi hii kwa kiwango cha juu sana.

Kuna makundi mawili nchini ambayo raisi mwenye busara anapaswa kuwa makini sana wanapotoa malalamiko - waalimu na viongozi wa dini. Haya makundi yako kwenye nafasi ya kuamua nani awe raisi wa nchi kwa sababu wana mfikio (access) kwa wapiga kura wengi sana nchini. Sahau hili kwa gharama yako mwenyewe.
Hakuna udini tz, ccm tendeni Haki acheni ujinga wa kishamba. NO REFORM NO ELECTION
 
Msiwasahau na wachawi, wapagani, wasio na dini, waabudu mizimu na dini za asili
 
Back
Top Bottom