Msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kuhusiana na mambo ya kusamehewa na Rais

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,902
95,407
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
 
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
View attachment 2047607
Huyu Mbowe ni mwamba haswa.
Na chadema ni miamba haswa.
Wamesimamia kile wanachokiamini na kinachopaswa kufuatwa.
 
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
View attachment 2047607
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
 
Hangaya alisema wezanke walishafungwa! atawasamehe hao pia? Au ndo Hawa wako na mzee wa anga?
Hangaya onyesha uwezo wako,wa kulikoroga na kulinywa mwenyewe.
Nakuamini.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulialia" Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Inafikirisha sana.

Ni heri Mbowe atubu na kurudi nyumbani?

Au akomae na mateso huku wafuasi wake wakigonga mbege kama kawa mitaani?!!
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Kweli kwenye maandamano yoliyoitishwa na Lissu,hata Lissu hakutokea,ni vigumu kumuamini Sasa.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamana Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulialia" Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Haya uliyoandika hayafuti ukweli kwamba Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Haya uliyoandika hayafuti ukweli kwamba mliokuwa mnapiga debe kwamba Rais amsamehe Mheshimiwa Mbowe hamkuwa sahihi.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Kama Lissu alimiminiwa risasi unataka Chadema walipize kisasi hizo risasi wanazo? au ndio unawatafutia sababu ili wafutwe na msajili wa vyama?

Hao wote walioumizwa na kupotezwa maisha yao haki zao zinapiganiwa mpaka sasa kwa Chadema kuendelea kusimamia wanachokiamini, hawapigi magoti kwa wadhalimu ili kujishusha, na wadhalimu wanateseka na msimamo huo ndio maana kutwa kuitisha mikutano ya usuluhishi ambayo haina mantiki yoyote.

Lazima kwa uzee wako huo ujue tofauti ya "chama dola" na "chama cha demokrasia" sio unaropoka kama mdoli, CCM wanatumia polisi na makundi mengine ya kihalifu kufanya uovu kwa wanachama na viongozi wa Chadema, Chadema wakilipa kisasi patakuwepo na amani Tanzania? hizi ndio aina ya siasa unazozipigia debe? umefilisika.

Huyo Tiganga kule mahakamani nae aendelee na maigizo yake hakuna anayeshangaa tena, chezeeni haki za watuhumiwa kwa sababu Chadema hawana risasi za kulipa kisasi, lakini joto lake mtaendelea kulipata kila kukicha kama mnavyolipata sasa ndio maana hamchoki kuwashawishi Chadema wajishushe kitu ambacho wameshaonesha hawatakifanya.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Evarist Chahali hawa watu hawabebeki na sababu kubwa ni structure ya chama chao. Vyama vingine vina mabaraza ya wazee ambao ndiyo wanakuwa consulted kukiwa na sintofahamu kama hizi.

Bahati mbaya Mbowe ndiyo CHADEMA na CHADEMA ndiyo Mbowe. Kwa utawala wake miaka 23 yeye ni kama sultani, hakuna wa kumshauri wala kuamua.
 
Juzi katika kikao cha Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wadau wa demokrasia iliibuka tafrani kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudaiwa kuwa Zito alimuombea Msamaha kwa Rais Mheshimiwa Mbowe.

Jambo lile lilipingwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu kwa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea Mahakamani.

Viongozi mbalimbali wa Chadema kama vile Mheshimiwa Tindu Lisu pia walipinga msamaha ule kwa kile nilichoeleza hapo juu kwamba kwa mujibu wa katiba yetu Rais hana mamlaka ya kumsamehe mtuhumiwa ambae kesi yake inaendelea mahakamani.

Kuna kundi dogo la watu wenye akili fupi hasa kutoka CCM ambao waliunga mkono wazo la kusamehewa Mheshimiwa Freeman Mbowe bila ya kuangalia katiba yetu inasemaje.

Sasa leo nimewaletea video fupi ya Mheshimiwa Freeman Mbowe ambapo katika video hiyo anatoa msimamo wake juu ya masuala hayo.

Ukiangalia video hii utagundua ni nani yupo sahihi kati ya Zito aliekuwa anamuombea msamaha mheshimiwa freeman Mbowe,kikundi cha wale watu waliounga mkono wazo lile na watu ambao walipinga suala la kuombewa msamaha Mheshimiwa Freeman Mbowe kama vile Lissu na wanachama wa chadema.

Karibuni kuangalia video hii ili mpate kujua msimamo wa Mheshimiwa Freeman Mbowe kutoka kwake yeye mwenyewe.
View attachment 2047607
Mbowe bwana
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "
hii nchi sio mali ya ccm, mnapowafanyia haya wapinzani tambueni ccm haitatawala milele hivo kibao kinaweza kugeuka muda wowote, mnataka kuheshimiwa ilihali mnataka watu wapate haki zao za kikatiba kwa kuwasujudia? jitafakarini sana ccm pia tambueni kuna kesho, ipo mifano mingi ya tawala zenye nguvu kuliko ccm bt zilifika mwisho na wahusika wakaishia pabaya.
 
Mbona mnahangaika sana? Lissu alimiminiwa lundo la risasi, mmefanya nini kudai hiyo haki yake? Diwani Luena amechinjwa, mmedai wapi haki yake? Katibu CDM Kata ya Hananasifu ameuawa, mmedai wapi haki yake? Kamanda Mawazo je? Ben Saanane yu wapi? Akina Halima Mdee si hao wapo bungeni hadi leo?

Mnatunisha msuli as if Jaji Tiganga akiamua kumfunga Mbowe hapatakalika. Novemba 4 mwaka jana Lissu aliwasihi muingie mtaani kudai "ushindi ulioporwa." Nani alitokea?

Ni rahisi kujimwambafai mtandaoni kwa kutumia fake IDs ilhali Mbowe anateseka muda huu. Hiyo mikutano yenu ya spesi inajaa maelfu ya watu, mahakamani mnatokea wangapi?

Your wishes would be fulfilled, haki mnayotaka itendeke itatendeka, halafu mtarudi hapa kulalia "Mama Samia ni Dikteta. "

Mtu mwenye busara hutambua wakati gani wa kutunisha msuli, na wakati gani wa kujifanya mjinga siku ipite.
Watu wenye akili kuendelea kujifanya wajinga siku ipite ndio kumeifanya nchi hii kuwa kama ilivyo mpaka kipindi hiki.
 
Evarist Chahali hawa watu hawabebeki na sababu kubwa ni structure ya chama chao. Vyama vingine vina mabaraza ya wazee ambao ndiyo wanakuwa consulted kukiwa na sintofahamu kama hizi.

Bahati mbaya Mbowe ndiyo CHADEMA na CHADEMA ndiyo Mbowe. Kwa utawala wake miaka 23 yeye ni kama sultani, hakuna wa kumshauri wala kuamua.
chadema hawapo tayari kufanywa watumwa na watawala ndani ya nchi yao, haiwezekani haki zilizopo kikatiba watu wazipate kwa hisani ya rais, ccm mnapaswa kukiacha kiburi cha madaraka kinachowafanya muwaone wengine ni second class ndani ya nchi yao.
 
Back
Top Bottom