Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Mbowe akiwa kwenye Mkutano na Waandishi wa habari akisoma maazimio ya Kamati Kuu ya CHADEMA asema, "kwakuwa hakuna utafiti, ushahidi, wala tathmini ya kina iliyofanywa juu ya jambo hili na kwakua serikali imekosa majibu yenye ushawishi kwa umma, na kwakuwa chama tawala hawasikilizi maoni ya wananchi juu ya rasimili zao sisi CHADEMA kama serikali inayosubiri kuingia madarakani tunatoa msimamo wa mwisho ufuatao;
"Kwasababu hizi zote na sababu nyingine nyingi msimamo wa CHADEMA ni kuwa Mkataba huu ufutwe wote.
Akiendelea kuwa, "CHADEMA itatumia njia mbalimbali ndani na nje ya nchi yetu kuhakikisha kwamba mkataba huu unafutwa na rasimali za nchi yetu na maslahi ya nchi yetu yanalindwa."
Pia soma: Freeman Mbowe: Tunazindua "Operation +255 Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu" kuwaambia watanzania ubaya wa Mkataba wa DP World
"Kwasababu hizi zote na sababu nyingine nyingi msimamo wa CHADEMA ni kuwa Mkataba huu ufutwe wote.
Akiendelea kuwa, "CHADEMA itatumia njia mbalimbali ndani na nje ya nchi yetu kuhakikisha kwamba mkataba huu unafutwa na rasimali za nchi yetu na maslahi ya nchi yetu yanalindwa."
Pia soma: Freeman Mbowe: Tunazindua "Operation +255 Katiba Mpya Okoa Bandari Zetu" kuwaambia watanzania ubaya wa Mkataba wa DP World