mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,793
Na hyo 3:5.
HAKUNA sehemu iliyosema Mariam Ali kuwa dada Yake Musa.
HAKUNA sehemu iliyosema Mariam Ali kuwa dada Yake Musa.
Quran 19
27. Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!
28. Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.
..
.
.
.
Quran 3:5. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
