colony
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 361
- 494
Masinagogi sio misikiti wewe ndo ambavyo huo mnajazwa upepo..Alisali kwenye masinagogi (miskiti) ya wayahudi
Synagogue ni neno la kigiriki manake ni Jewish house of worship, Bible study(Hebrew&Torah).
Hapa walikuwa wanakusanyika wayahudi kwa ajili ya kuabudu na kusoma/ kujifunza vitabu vilivyopo kwenye biblia sana sana waebrania na kitabu cha Torah..
Sasa wewe endelea kupotosha kwamba sinagogi ni msikiti

