Majibu ni rahisi...Yes alisali sinagogi...hakupiga ishara ya msalaba kwa kuwa dini ya kikristo haikuwepo wakati yeye akiwa hai...Dini ya Kikristo imeanzishwa baada ya yeye kufa..na kupiga msalaba kumekuja kufuatia yeye kufa msalabani...ikumbukwe ukristo umekuja kutokana na wafuasi wake kueneza Dini inayoitwa christians kwa kumbukumbu ya Jesus Christ...wakati wa utawala wa warumi Dini ya kristo wafuasi wake walitafutwa na kuuawa..Kwani Yesu alisali wapi, msikitini au Kanisani, alipiga magoti, au alisujudu, au alifanya ishara ya msalaba.Ukipata jibu niambie