mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,473
- 21,702
Kwanza jibu hoja ya kusujudu na kusali kwa kupiga magoti,,Mvinyo uliharamishwa na nani?
Je mnafanya hivyo?
Sasa utasema mnamfata yesu?
Kwanza jibu hoja ya kusujudu na kusali kwa kupiga magoti,,Mvinyo uliharamishwa na nani?
vizuri.niwekeee uzao wa yesu katika biblia.mimi nimekuwekea uzao wa issa katika Quran.
Soma Aya ya 45View attachment 1661138
HAKUNA TOFAUTI KABISA.
Kwanza jibu hoja ya kusujudu na kusali kwa kupiga magoti,,
Je mnafanya hivyo?
Sasa utasema mnamfata yesu?
Kumbe hata xmass mnasherehekea siku kuu za watu wengine na sio kuzaliwa kwa yesu..Luka 1:26- Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Sasa wao wameaminishwa kwamba yesu sio issa na Mirium sio mariam..
Kwanza jibu hoja ya kusujudu na kusali kwa kupiga magoti,,
Je mnafanya hivyo?
Sasa utasema mnamfata yesu?
Unapoelekea mwishowe utauliza je mbona na sisi hatukusukubiwa?kama yesu!Mnakunywa mvinyo kama Yesu?
Haya nikuulize wapi Yesu aliosha uso,mikono na miguu kabla ya kusali?Yesu alikuwa,
--Anaosha USO ,,mikono na miguu kabla ya kusali.
wapi Yesu alivua viatu wakati wa kusali?--Anavua viatu wakati wa kusali.
Je wewe unafanya?
Au unasali juu ya madawati na viatu?
Yesu Tunayemfuata huyu hapaYesu yupi mnayemfuata nyie?
Haiingii akili HAWA ISSA NA YESU WAKAWA NI WATU WAWILI TOFAUTI.maana aliyoyafanya issa ndo aliyoyafanya YESU.
Aya ya 110.
I miujiza aliyoifanya issa katika Quran lakini miujiza hyo hyo inaonekana kwenye biblia aliyoifanya YESUView attachment 1661149
Unapoelekea mwishowe utauliza je mbona na sisi hatukusukubiwa?kama yesu!
Nimekuuliza hii kusali kwenye madawati na kuingia na viatu imetoka wapi?
Jibu kwnz
Luka 1:26- Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe. Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.
Halafu pia?Haiingii akili HAWA ISSA NA YESU WAKAWA NI WATU WAWILI TOFAUTI.maana aliyoyafanya issa ndo aliyoyafanya YESU.
Aya ya 110.
I miujiza aliyoifanya issa katika Quran lakini miujiza hyo hyo inaonekana kwenye biblia aliyoifanya YESUView attachment 1661149
Mkuu naona bado una mvinyo kichwani,,,,bado asubuhi sana.Ndiyo,kwa nini nyie hamsulubiwi kama Yesu?
Tofauti yao ni mmoja aliuwawa na mwingine hakuwahi kufa kabisa inavyosemekana.
Ewaaah.
1.Mama yake issa alikuwa bikra.
Na mama yake yesu alikuwa NI bikra.
2.mimba ya yesu iliingia kwa uwezo wa roho mtakatifu
Na mimba ya issa iliingia wa uwezo wa roho mtakatifu.
3.issa HAKUWA na baba wa kibaiolojia.
Na yesu HAKUWA na baba wa kibaiolojia.
4.yesu mama yake aliitwa Mariam.
Na issa mama Yake aliitwa Mariam.
5.issa alifanya miujiza ya kufufua watu,kuponesha maradhi n.k
Na yesu pia alifanya hivyo.
JE UTOFAUTI WA ISSA NA YESU UPO WAPI?
Uyahudi sio dini bali ni kabla,,
Wote hao ni mmoja,, ila mmefundishwa kuwatofautisha ili mfate dini za watu.
Hivi yesu aliposema sikuja bali kwa makabila 12 ya wana wa Israel ,,yesu anakuhusu na wewe mgogo ,,,mmasai pia ?
Utofauti wa Yesu na Issa ni kwamba mmoja alikufa na mwingine hakuwahi kufa.
Utofauti mwingine ni mama zao waliishi vipindi viwili tofauti kabisa,wakitofautiana takribani miaka 2000.
Ebu niwekee Aya ya huo utofauti wa miaka 2,000.walioishi hao Mariam