Msikiti uliopewa Jina la Yesu

Msikiti uliopewa Jina la Yesu

ndo Mana nasema jifunzeni kwanza KUSOMA quran..
Hayo yalikuwa maongezi Kati ya Mariam na ndugu zake.wayahudi walipomuona akiwa na mtoto wakati wanajua HAKUWA ameolewa
Mbona mnatuchanganya?? Quran ni maneno ya allah tuu? au ni mchanganyiko wa maneno ya allah na watu wengine?
 
Jifunze kwanza jinsi ya kuisoma Quran
Waliomuita ewe dada wa harun NI MAYAHUDI SIO QURAN WALA MUNGU.
Mimi nikisema "Mjingamimi amesema Zanzibar ipo Kenya"
Mjinga atakuwa mimi au mjingamimi?

Vilevile Baba yake Maryam wa quran anaitwa imran ambaye ni baba yake Mussa...Wakati ukweli hakuitwa hivyo
 
Baba yake mariam anaweza akawa ni IMRAN
Lakini huyo Imran asiwe Imran baba yake MUSA NA HARUNI...
Labda mnachanganya hayo majina ya IMRAN.
dada yake Musa na harun nimeshakuonesha.
Alikuwa anaitwa Miriam.
UNAFELI WAPI?
Mimi nikisema "Mjingamimi amesema Zanzibar ipo Kenya"
Mjinga atakuwa mimi au mjingamimi?

Vilevile Baba yake Maryam wa quran anaitwa imran ambaye ni baba yake Mussa...Wakati ukweli hakuitwa hivyo
Screenshot_20201228-095927.jpg
 
ndo Mana nasema jifunzeni kwanza KUSOMA quran..
Hayo yalikuwa maongezi Kati ya Mariam na ndugu zake.wayahudi walipomuona akiwa na mtoto wakati wanajua HAKUWA ameolewa
kwahyo Quran kumbe sio maneno ya Allah 100%?
 
Hii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..

Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..

Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,

Je ni akina nani wanasujudu?

Jibu hoja.

Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,

Je akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?

Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,

Nani basi aliyeta msalaba?

Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?

Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..

Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Kama BIBLIA tena agano la kale MUNGU anasema'nazichukia sikukuu zenu za mwandamo wa mwezi,je moja kwa moja iliwahusu waislam?umepewa akili jaribu kupambanua mambo.
 
YESU kwa kiarabu ni YASU na sio Isa

GOD kwa kiarabu ni "ilah" na sio "allah" ie "laila ilah(God) ila allah"
Rudi tena kwa aliyekukaririsha uongo.

Nani kakufundisha ilah ni Allah ?



Rudi kwenye hoja ,,,
yesu yule aliyekuwa akiingia kwenye masinagogi ,,kuvua viatu wakati wa kusali na kuosha uso pamoja na mikono na.miguu ,,kupiga magoti na kusujudu wakati wa kusali kama wafanyavyo waislam ni yesu yupi?


Ni yule yesu wa Mirium au issa?
 
Baba yake mariam anaweza akawa ni IMRAN
Lakini huyo Imran asiwe Imran baba yake MUSA NA HARUNI...
Labda mnachanganya hayo majina ya IMRAN.
dada yake Musa na harun nimeshakuonesha.
Alikuwa anaitwa Miriam.
UNAFELI WAPI?View attachment 1661433
sasa baba yake hakuitwa Imran...Ishu unajaribu kutetea lakini ngoma inaonekana kabisa mwandishi wa quran alijua Mariam=Miriam
 
Bado unachanganya.
Soma Tena hizo AYA.
hayo ni mazungumzo baina ya Mariam na ndugu zake.
Jibril ndo alikuwa anamsimulia Mustafa.
kuwa mariam aliporudi na mtoto ndugu zake walimwambia maneno hayo
kwahyo Quran kumbe sio maneno ya Allah 100%?
 
Mimi naamini Quran na Sina Shaka nayo.
Jina la baba yake mariam wewe umelitoa wapi?
sasa baba yake hakuitwa Imran...Ishu unajaribu kutetea lakini ngoma inaonekana kabisa mwandishi wa quran alijua Mariam=Miriam
 
Duh walimu wana kazi sana.
biblia iko wazi kuna Miriam na Mariam.
Miriam ni dada yake Mussa na baba yake aliitwa Amram(Imran):
Mariam ni mama yake Yesu( baba ake aliitwa Joachim)

Sasa Muhamad kupitia kulwani aliwachanganya hawa watu wawili akasema Maryam mama wa Yesu alikuwa dada wa Harun na Baba ake aliitwa Imran.
Mkuu unawezakuona wenzio ni mzigo kumbe mzigo ni wewe..

Hivi Dada wa Mussa alikuwapo zama za yesu?
Kupelekea kumzaa yesu?

Mirium na maruam ni mmoja tofauti ni majina yanavyotamkwa na kuandikwa..
 
Hoja zikiwaisyhaga huwa nasubiri matusi ingekuwa Saudia ningesubiri pangà la shingo
Allah 'ahmaq
Bado hamjajibu hoja zangu mnarukia pengine..

--Yesu alikuwa anavua viatu,

--Anaosha uso na miguu na mikono,

--Unaingia kwnye sinagogi,

--Anasali kwa kupiga magoti na kusujudu.

Je ndyvyo mfanyavyo wakristo?


Haya mambo ya kusali kwenye madawati ,,kuingia kanisani na viatu na kukata mauno kanisani mmeyatoa wapi?
Kama kwl mnamfata yesu.
 
Kama BIBLIA tena agano la kale MUNGU anasema'nazichukia sikukuu zenu za mwandamo wa mwezi,je moja kwa moja iliwahusu waislam?umepewa akili jaribu kupambanua mambo.
Mbona hoja ya kusali kwa kuvua viatu na kusujudu hujibu?

Nakuona unarukaruka tu.
 
Yaani waislam huwa hawajui tofauti ya utamaduni na imani.
1...Kati ya haya yapi ni utamaduni?
-- kuingia kwenye sinagogi na kusali
-- kuvua viatu.
-- kuosha uso na miguu pamoja na mikono kabla ya kusali.
-- kusujudu na kupiga magoti wakati wa kusali.
 
Bado hamjajibu hoja zangu mnarukia pengine..

--Yesu alikuwa anavua viatu,

--Anaosha uso na miguu na mikono,

--Unaingia kwnye sinagogi,

--Anasali kwa kupiga magoti na kusujudu.

Je ndyvyo mfanyavyo wakristo?


Haya mambo ya kusali kwenye madawati ,,kuingia kanisani na viatu na kukata mauno kanisani mmeyatoa wapi?
Kama kwl mnamfata yesu.

Ukijibiwa unakuwa kipofu?



Unataka ufosi utamaduni uwe dini.
Uislam na Uyahudi ni Utamaduni + dini
Ukristo ni dini.
Haya nikuulize wapi Yesu aliosha uso,mikono na miguu kabla ya kusali?

wapi Yesu alivua viatu wakati wa kusali?




Yesu Tunayemfuata huyu hapa

Mathayo 15

1.Kisha Mafarisayo na waalimu wa sheria wakafika kutoka Yerusalemu, wakamwendea Yesu, wakamwuliza, 2.“Kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu? Hawanawi mikono ipasavyo kabla ya kula!” 3.Yesu akawajibu, “Kwa nini nanyi hamjali sheria ya Mungu ila mnapendelea mapokeo yenu wenyewe? 4.Mungu amesema: ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ 5.Lakini nyinyi mwafundisha ati mtu akiwa na kitu ambacho angeweza kumsaidia nacho baba yake au mama yake, lakini akasema: ‘Kitu hiki nimemtolea Mungu,’ 6.basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe. 7.Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:

8.‘Mungu asema: Watu hawa huniheshimu kwa maneno tu,

lakini mioyoni mwao wako mbali nami.

9.Kuniabudu kwao hakufai,

maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”

Mambo yanayomtia mtu unajisi

10.Yesu aliuita ule umati wa watu, akawaambia, “Sikilizeni, mkaelewe! 11.Kitu kinachomtia mtu unajisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu unajisi.”

12.Kisha wanafunzi wakamwendea, wakamwambia, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa waliposikia maneno yako?” 13.Lakini yeye akawajibu, “Kila mmea ambao Baba yangu aliye mbinguni hakupanda, utangolewa. 14.Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni.” 15.Petro akasema, “Tufafanulie huo mfano.” 16Yesu akasema, “Hata nyinyi hamwelewi? 17.Je, hamwelewi kwamba kila kinachoingia kinywani huenda tumboni na baadaye hutolewa nje chooni? 18.Lakini mambo yatokayo kinywani hutoka moyoni, na hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. 19.Maana moyoni hutoka mawazo ya uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na kashfa. 20.Hayo ndiyo yanayomtia mtu unajisi. Lakini kula chakula bila kunawa mikono hakumtii mtu unajisi.




Sasa wewe nawa mikono,safisha Uso na vua viatu utakavyo lakini sisi tunasafisha mioyo yetu na kuvua matamanio ya kidunia kama uzinzi,uongo,Uasherati,Ugaidi.
 
Kwani Yesu alisali wapi, msikitini au Kanisani, alipiga magoti, au alisujudu, au alifanya ishara ya msalaba.Ukipata jibu niambie
Mimi Ni mkiristo ila kiukweli vitabu vyote vinavyomhusu vinasema alisali na kuishi Kama muislamu.

Na naamini pia katika uislamu.
 
Hii ni baada ya editing..lakini sinagogi ni msikiti wa wayahudi..

Maana kila kukicha watu wana edit pale penye mashaka..

Kama yesu alikuwa anasali kwa kupiga magoti na kusujudu,,

Je ni akina nani wanasujudu?

Jibu hoja.

Kama yesu alikuwa akivua viatu akiingia ktk sinagogi,,

Je akina nani wanavua viatu wakiingia kusali?

Kama yesu alikuwa haonyeshi alama ya msalaba,,

Nani basi aliyeta msalaba?

Kama yesu alikuwa haswali kwenye madawati na viti,
Je ni nani basi aloyeleta mambo ya kusali kwa kukaa kwenye madawati?

Kama yesu alisema toeni kelele za vinanda vyenu..

Akina nani basi walileta nyimbo kwenye sinagogi?
Yesu ni muislamu full stop.

Sisi wakiristo tunafuata kwa namna nyingine tuliyoichagua, ila background yake inajipambanua wazi ni muislamu huyu.
 
Back
Top Bottom