Naomba nikusaidie ndugu, inaonekana Kuna upunguf kdgo kumjua KRISTO.kwanza hakuna popote yesu kasema toeni kelele za vinanda.dini ya kiyahud ni kongww kuliko ukristo na uislam.dini hz mbili zilivyokuja zilijaribu ku-odopt baadh ya vitu toka kwa wayahudi.sinagog asili yake ni uyahudi, tafsir yake ni msikit(lkn wa din ya kiyahud)sio islam.hvyo hvyo walikua na hekalu(ambao wakristo pia waliadopt that's why kanisa mahala pengine kinaitwa hekalu)ni km vile kiswahili kilipokua kinatungwa Kuna MANENO yalitoholewa kutoka kwenye lugha nyingine.nadhani umenielewa.kuhusu kumfuata yesu jibu liko wazi sana.ili uwe mfuasi kamili wa yesu,shart ubatizwe.je mnafanya hivyo!??alamsik
kuanzia Adam hadi Ibrahim huko kote mitume ilikiwa ni wayahudi.
Unaposema kwamba sinagogi ni msikiti,,lakini ni msikiti wa wayahudi,,ni kweli sababu uyahudi ni kabila na sio dini..
Neno msikiti peke linaonyesha uhusiano kati ya yesu na msikiti.
Kipindi chote hicho mitume yote ilikuja kwa kabila la wayahudi.,,,ndy maana hata leo wapo wayahudi waislam kibao hapo Israel na kote duniani.
Hata yesu ni myahudi...
Kama kanisa ndy sinagogi? kwanini basi maana ya sinagogi isisomeke Kama kanisa la wayahudi?
Wanaohusishwa hapo na hilo sinagogi ni waislam
A---Kubatiza ni nn?
--Kubatiza ni kumtoa mtu ktk dini yake ya asili na kumwingiza kwenye dini zingine.
B----Dini ni nini?
Dini ni kufuata mamrisho ya kiimani ya kiroho.
Dini zipo nyingi sana hapa duniani,,na dini zote sio dini za MUNGU,,
Zingine ni dini za watu hapa hapa duniani.
Mfano.
--Muslims.
--Christians.
-- Buddha.
-- baniani.
--kuna dini watu wanaabudu Uume wa binadamu.
-- watu wanaabudu wanyama nk.
1---Uislam na kubatiza.
Kumbuka kwamba mtoto yeyote anayezaliwa na binadamu anakuwa .
-- hana dhambi.
-- automatic anakuwa ni muislam..
Sababu baba yetu Adam na mama yetu hawa walikuwa ni waislam,,
Tunazaliwa tukiwa ni waislam wa asili..
--Anapokuja hapa duniani ndy huvikwa joho la kubatizwa ili kumtoa ktk dini ile ya zamani aliyozaliwa nayo na kumtia ukristo.,,au dini zingine .
Kumbuka hata baniani,,Freemason,, nk dini zote hizo ni lazima ubatizwe ili uweze kutolewa kwenye dini yako ya asili.
Na asipobatizwa haonekani kama mkristo..au huwi baniani,,au Buddha,, nk.
Ndy maana hata mtu akiwa dini ingine akiingia uislam lazima abatizwe( kuslimishwa)
Ili kumtoa ktk dini aliyokuwa nayo huko,,lakini mtoto mchanga hata azaliwe na mkristo au baniani ataendelea kuwa Muslims wala hasilimishwi kama hajabatizwa.
2----Hebu jaribu kufikiri.
Kwanini ?Baba mkristo,,mke mkristo anapozaliwa mtoto lazima abatizwe ili awe mkristo kamili..
Baba muislam,,mke muislam anapozaliwa mtoto automatic ni muislam,,?
sisi binadamu tu nafata dini ya Adam na hawa wazazi wetu wa asili...
Ndy maana tunaitwa" bin Adam'" maana yake mtoto wa Adam.