mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Wapi Muhammad kasema Mariam Ni DADA YAKE MUSA?.
WEKA AYA LEO LEO NAKUWA MKRISTO.
WEKA AYA LEO LEO NAKUWA MKRISTO.
Duh walimu wana kazi sana.
biblia iko wazi kuna Miriam na Mariam.
Miriam ni dada yake Mussa na baba yake aliitwa Amram(Imran):
Mariam ni mama yake Yesu( baba ake aliitwa Joachim)
Sasa Muhamad kupitia kulwani aliwachanganya hawa watu wawili akasema Maryam mama wa Yesu alikuwa dada wa Harun na Baba ake aliitwa Imran.

