Msemaji wa Serikali umedanganya; tuzo ya Nobel haijaenda kwa Raia wa Tanzania

Dhana ile ile iliyotumika kuamua kuwa Kibu Denis ni Mtanzania kwa sababu alikimbilia bongo kuepuka vita...

Na sasa tuitumie hapa kwa kusema huyu mzee wetu si Mtanzania sababu alimbia alikokimbilia...
 
.
Screenshot_20211008-075833.png
 
Kumsikiliza Msigwa na kuangalia TBC na kusoma Uhuru tofauti hauwezi kuiona. Siku hizi anaujinga mmoja anaufanya wa kuongea na taifa kila wiki anazunguka tu mara Singida mara Morogoro.
 
Kabla haujamlaumu msemaji wa serikali. Walaumu watoaji wa hiyo Nobel. Maana ndio wametangaza kwa vyombo vya habari , kama BBC, Aljazeera na vingine vya kimataifa. Na pia mlaumu ,huyo mshindi mwenyewe kwa kuwa ndiye aliwapelekea taarifa zake. Sio uanze kuwalau watu wasiohusika ,ambao pia wamesikia. Ndugu ,unaonekana una tatizo kubwa la uelewa. Lowasa(2015).

Elimu!Elimu!
... msemaji wa serikali ya Tanzania hakupaswa kujiridhisha uraia wa "mtanzania"? It was supposed to be the other way, msemaji wa serikali ndiye aliyetakiwa kuwasadia Kamati ya Nobel kuujua kwa usahihi uraia wa mhusika! Lakini kwa kupenda sifa wala hakujishughulisha kuutafuta ukweli! Angetangazwa kuwa gaidi (kwa mfano) huyo msemaji wa serikali angeshoboka alivyoshoboka? Tunapenda sifa za kipumbavu; tunapenda kuvuna tusipopanda!
 
msichanganye madesa humu ndani lissu hana uraia wa ulbelgiji ni raia wa tanzania kule ubelgiji amepata political asylum.msituhamishe kwenye mada lkn Profesa Gurna yeye ana uraia wa uingereza sasa nn kigumu kuelewa hapa.watz tuna shida gani siasa zinatufanya hata kujitoa ufahamu wetu?Basi hii ni hatari sana.
Mbona Tundu Lisu ni mbelgiji lakini nyie makamanda uchwara mnadai eti ni mtanzania?
 
Prof. Gurna aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo Ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao Bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.

Atakuwa aliwanukuu wale binamu zake Mataga wa humu JF - wale waimba mapambio ya kusifu hata yasipopaswa.

Utasikia source: TIV habari.

😂😂

Hiiiiii bagosha!
 
Prof. Gurna aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo Ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao Bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Nilimsikia mwenyewe jana akihojiwa na Utv alijitanabaisha km mtanzania au labda na yy katuongopea
 
Prof. Gurna aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo Ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao Bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Wengi tumeshangaa. Mtanzania msomi aishi miaka yote hiyo uingereza bila kuomba uraia wa huko? Si unajua binadamu wengi unaangalia kipi kina cha kukufaa. 😂. Hata hivyo sio vibaya kujidai na mafanikio ya mtu mwenye asili ya kwenu.
 
Hata baba yangu alizaliwa 1922 hakukuwa na Tanzania hahahahahahaha...
 
Vyombo vyote vya habari vikubwa, aljazeera, BBC etc vime mtaja kama RAIA wa Tz...

Kikubwa hata hivyo vyombo vya duniani vina upungufu wa kupata na kutoa habari...

Muhusika na serikali wana majibu zaidi, kuna watu wana uraia wa nchi mbili yawezekana, hata kama sheria hairuhusu lakini yawezekana kuna sehemu INA toa unafuu
 
Nilimsikia mwenyewe jana akihojiwa na Utv alijitanabaisha km mtanzania au labda na yy katuongopea
Tumheshimu Gurnah mwenyewe. Pamoja na kuikimbia Zanzibar, bado anajihisi kuwa ni Mtanzania, na sisi tufurahie hisia zake kuwa ni mwenzetu. Tusiwahukumu watu binafsi waliojikuta kuwa wakimbizi kutokana na mapinduzi ya 1964. Mapinduzi yo yote yana uzuri na ubaya, na yanaathiri watu kwa utofauti. Hatujatajiwa kama alichukuwa uraia wa nchi nyingine. Lakini hata akiwa na uraia tofauti, hayo ni matakwa ya kuishi na kusafiri bila bugudha; ni wazi kwamba si chaguo la roho yake.
 
Prof. Gurnah aliyeshinda tuzo ya Nobel siyo raia wa Tanzania Kama serikali na viongozi wengi pamoja vyombo vya habari vilivyoripoti. Huyo ni raia wa Uingereza Mwenye asili ya Tanzania.

Msemaji wa Serikali hapaswi kuandika kwa kuangalia mitandao bali anapaswa kufanya utafiti. Haina haja kuwa na msemaji wa serikali na viongozi wa serikali wanaodanganya umma au kuripoti habari bila kujirizosha. Nadhani tuwe watu wakufanya utafiti.
Msigwa bado ana dhani yuko na Jpm mzee wa fix. Maana ule utawala uliwaona Watanzania wote ni wajinga na wao pekee ndio wenye akili.
 
Back
Top Bottom