Huyu kijana ni mmoja wa wasanii waliokataa muda mrefu dhuluma inayofanywa na clouds entertainment wakaja na issue ya VINEGA akiwa na Sugu, Mkoloni na wengine. Sasa lady jd nae ndani
Shida yake kubwa ni bhangi na unga atuambie ameacha? Asije akawa Kama Mangwair maana naye yumo sana kila mtu anajua hilo