Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Soggy Doggy huyuhuyu aliyekuwa mtangazaji wa Radio UHURU ya LUMUMBA? CCM mchukulie haya matukio ya vijana kujiunga na vyama vya upinzani kama changamoto kuu hii dhahiri inaonyesha kuwa chama chenu kinaendelea kukosa mvuto kwa vijana ambao ndiyo nguvu kazi ya nchi kwa kila sekta.
Kwa sasa ndani ya CCM hakuna mwenye uwezo wa kulijua hilo kama ni changamoto, Nape akija hapa utasikia anasema kafulia huyo.
 
Bhangi oyeeeeeeeeeeee na people's sssssssss bhangi. Full powder kwa Soggy. Huyu jamaa kafubaa sana tatizo lake kubwa ni bhangi na powder maana ni teja mkubwa.amechakaa sana kuliko miaka ya nyuma Kama mtu aliyechanganyikiw
kwahiyo akivuta Baghi hana haki ya kushiriki siasa, UNGA SI NYINYI watoto wa viongozi ndio mnawaletea vijana wenzenu watumie, Unyang'au mwingine bana
 
Bhangi oyeeeeeeeeeeee na people's sssssssss bhangi. Full powder kwa Soggy. Huyu jamaa kafubaa sana tatizo lake kubwa ni bhangi na powder maana ni teja mkubwa.amechakaa sana kuliko miaka ya nyuma Kama mtu aliyechanganyikiw

Najua mheshimiwa shumbi madelu gulo unaumia baada ya vijana wengi kuwakimbia na kukimbilia cdm hlo ni pigo na mnaliona but mnajifanya vipofu.
Ila mheshimiwa si upo bungeni?
 
Chadema ndio sehemu pekee ya kupata viroba

Naaamu najua amefanya uamuzi wa busara sana maana sasa atapata viroba vya bwerere. Atajifunza ugaidi pia maana Lwaks Mzee wa majanga ataanza kumnoa. Soggy ndugu yangu najua Hali yako ya mjini ni tete sana sasa tafuta cha kufanya siasa kwa Hali yako ya sasa itakuchanganya sana
 
Mkuu Elli inabidi tukupe jukumu ukamfanyie kazi yule mzee shauri ilii naye ajiunge na vijana.
Khaa!!! safi sana, Siasa ndiyo kazi inayolipa kuliko zote bongo. Waachieni vijana kwa wazee wajitupe kwenye siasa. Waache kazi zao za uzalishaji na huduma. Wakae vijiweni wakibishana kuhusu magamba au magwanda. Waendelee kukaa kwenye ofisi zenye ac zinazolipiwa kwa ruzuku inayotokana kodi zetu huku wakipanga jinsi ya kuweka fitina na uzandiki dhidi ya wapinzani wao. Wote wasiwe na mawazo ya kuipeleka nchi mbele zaidi ya kujua jinsi watakavyoupata uraisi, ubunge, udiwani au kuwa hata wapambe wa hao watu. Ama hakika baada ya miaka 10 tutakuwa tutakuwa dunia ya kwanza:disapointed:
 
chama cha mateja mtawapa q-chila,chid benz afande ndo huyo nae,bado makahaba wa bongo movie

Mwishoni kitakuwa chama cha wala bhangi na unga plus wapenda wake wa watu Kama babu alivyopora mke wa mtu
 
Soggy Doggy kwa hiyo unataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA.
 
Mkuu umenena yaani CDM kweli hakina viongozi hata huyu muhuni? Kweli kazi mmnayo
Usiwe na akili fupi wakati wa kufikia conclusion nani kakuambia tayari Soggy ameshakuwa kiongozi.
 
Chadema ndio sehemu pekee ya kupata viroba

Inashangaza sana huyu jamaa kajiunga jana Chadema anataka apewe nafasi ya ubunge, wakati kina Mohamedi Mtoi, kila siku wanatumika lakini hata kiongozi wa kata ajapewa huko Bumbuli.

CC; chama,
 
Last edited by a moderator:
Kila lakher kamanda Chief Rumanyika, nakukubali sana m2 wang, magamba mwsho wao mbona 2015!
 
vp jamaa ameacha kazi radio uhuru, karibu chadema ila usitagulize ubunge tunachotaka ni ukombozi
 
Back
Top Bottom