KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Yani ajiunge leo na atake ubunge? sio kuleta mtafaruku chamani kweli? Je aliogombea 2010 wakakosa watamuelewaje?
Kwanini asikae kwenye chama kwa muda hata wa miaka 15 tumjue ka kweli amevua gamba?
Kwanini asikae kwenye chama kwa muda hata wa miaka 15 tumjue ka kweli amevua gamba?