CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 946
Hahahahahaha Mkuu.Pale KBV bado papo akikuletea tena utoto njoo nae pale transit tumpe adabu.
Pale transit motel napapata sana Mkuu.
Pako tulivu kinoma,nilipita hapo mwezi wa tatu mwaka huu naona pameboreshwa sana,maana ata ukiwa kule kwa ndani basi mtu wa nje hakuoni.
Namkumbuka bosi wa hapo alikua anaitwa Lowland,jamaa yuko poa sana mazee!!