Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Msanii Soggy Doggy ajiunga CHADEMA

Sogi Mbwa ameamua kuchekesha jamii...Makongoro alivyoibadili Segerea kuwa ulaya ndogo nani wa kumtoa..barabara St maryz,Kisukuru na sasa inakuja umoja road....siku izi Tabata ndio cake mpya hapa mjini yote iyo ni Makongoro
 
Sina kadi ya Chadema ila harakati zangu ni zaidi ya Mwanachama, hawa wanaoota Ubunge Sugu ndio anawaponza, hawajui tofauti kubwa kati yao na Sugu.

Segerea si jimbo la kujifunzia uongozi, wala hatuna masihara katika hili, ajaribu udiwani katika kata anayoishi.

waambie hao wasoijua Segerea,hakuna wa kumtoa Mahanga labda astaafu..Leo Tabata kama ulaya lami kila pande alafu muhuni kama uyo aje na akili zake za bange kuota mchana....
 
Si kama wewe ulivyokimbia kwenye sheria baada ya kufulia na ukakimbilia kuuza poda! Ngoja wachina wakukamate tena tuone mshua ataweka pondi nini?

Si bandari ya Bagamoyo itakuewepo? Atajidhamini nayo?
 
waambie hao wasoijua Segerea,hakuna wa kumtoa Mahanga labda astaafu..Leo Tabata kama ulaya lami kila pande alafu muhuni kama uyo aje na akili zake za bange kuota mchana....
Na wewe wacha kudandia vitu usivyovijuwa, Tabata watu wanamjuwa Joseph Kessy na siyo muhuni unayemsema, CCM mngekuwa na akili kura zenu za rushwa za maoni mngempitisha Joseph Kessy kamati yake ndio walioibadili Tabata.

Ila mshamba kama wewe uliyekuja mjini na mbio za mwenge hakuna ulijuwalo ni mbumbumbu tu bado una tongotongo. Kituo alichojiandikisha Makongoro nyumbani kwake Segerea unajuwa alipata kura ngapi?

Na uelewe Diwani wa kata anayoishi Makongoro ni wa Chadema. charity begins at home.
 
Baada ya kufulia kwenye music wanakimbilia kwenye siasa.

pumba less,pmbavu mkubwa wewe mwatufanya sisi wajinga,tunateseka kwa ajili ya chama lako,ndugu zangu wanapata tabu kwa ajili ya uroho wenu mtalipa kila tone la mateso ya watanganyika bahati yenu wazanzibar wanachukia muungano ni force yenu tu tumbili nyie
 
Na wewe wacha kudandia vitu usivyovijuwa, Tabata watu wanamjuwa Joseph Kessy na siyo muhuni unayemsema, CCM mngekuwa na akili kura zenu za rushwa za maoni mngempitisha Joseph Kessy kamati yake ndio walioibadili Tabata.

Ila mshamba kama wewe uliyekuja mjini na mbio za mwenge hakuna ulijuwalo ni mbumbumbu tu bado una tongotongo. Kituo alichojiandikisha Makongoro nyumbani kwake Segerea unajuwa alipata kura ngapi?

Na uelewe Diwani wa kata anayoishi Makongoro ni wa Chadema. charity begins at home.

umemaliza kazi mkuu
 
Inashangaza sana huyu jamaa kajiunga jana Chadema anataka apewe nafasi ya ubunge, wakati kina Mohamedi Mtoi, kila siku wanatumika lakini hata kiongozi wa kata ajapewa huko Bumbuli.

CC; chama,

Mkuu Ritz
Hawa wasanii wanawatoa wapi? Huyu naye katoke wapi? yaani ukijirekodi kwenye video tu unageuka msanii? mwache aingie hapo akutane na wasanii wa kweli; Mohamedi Mtoi ni mtumishi wa ndani akipewa kazi ya kuosha gari hupiga picha na kupeleka Bumbuli kujisifia kwa wasambaa wenzake maisha ya mjini matamu!
 
Last edited by a moderator:
Na wewe wacha kudandia vitu usivyovijuwa, Tabata watu wanamjuwa Joseph Kessy na siyo muhuni unayemsema, CCM mngekuwa na akili kura zenu za rushwa za maoni mngempitisha Joseph Kessy kamati yake ndio walioibadili Tabata.

Ila mshamba kama wewe uliyekuja mjini na mbio za mwenge hakuna ulijuwalo ni mbumbumbu tu bado una tongotongo. Kituo alichojiandikisha Makongoro nyumbani kwake Segerea unajuwa alipata kura ngapi?

Na uelewe Diwani wa kata anayoishi Makongoro ni wa Chadema. charity begins at home.
Matola
Na wewe unataka kujinadi mtoto wa mjini? tongotongo hazijakutoka kula kwa shangazi kulala kwa shemeji!
Bado unatinga na pekosi na vishati vya kubana vya kutupiwa na shemeji usitake kutia watu kichefuchefu!
 
Last edited by a moderator:
Anataka kujiunga chadema au anataka Ubunge na yeye akale bata?
 
Matola
Na wewe unataka kujinadi mtoto wa mjini? tongotongo hazijakutoka kula kwa shangazi kulala kwa shemeji!
Bado unatinga na pekosi na vishati vya kubana vya kutupiwa na shemeji usitake kutia watu kichefuchefu!

Mkuu chama,
Huyu jamaa ata mimi kanishangaza sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chama,
Huyu jamaa ata mimi kanishangaza sana.

Mkuu Ritz
Jamaa mjomba bado anafadhaliwa kodi ya pango hajui leo anajinadi mtoto wa mjini labda kama ni Muleba nitakumbalia!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom