Maskini wee dah.
Mkuu unapenda vifo ee? Kwani wameeleza kuna aliyefariki?Poleni kwa kufiwa
Kituo kimejengwa vizuri miundombinu mizuriNaunga mkono hoja...! Hizo hela za tozo tunazotozw sijui zinaenda wapi jamani!...magari 500...waingia ndani 300! Ovyo sana!
Ila gari iliangukia nyuma kidogo na kituo cha Msamvu mkuu, iliangukia kituo cha maraha mitaa ya itigi.Pale msamvu Kuna Nini? Mara gari la petrol, Mara gesi sasa Mara Hii n kituoni kabisaaaa... Naona Kuna laana mle.... Maana tangu kituo kijengwe mabalaaa tu pale
Ahsante.Mmh, Poleni wana Morogoro
Duh starehe yenu iliharibiwa.Kituo kimejengwa vizuri miundombinu mizuri
Tukio linatokea tulikuwa bar terminal hapa msamvu
Nliona tu watu wanahaha kukimbilia kuona imekuwaje
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hapana wengine tuliendelea tuDuh starehe yenu iliharibiwa.
Jamaa haitishi rescue team wala fire anaitisha camera warekodi tukioView attachment 1463933
MOROGORO: Chanzo cha moto huo uliozuka ghafla bado hakijajulikana mpaka muda huu
> Juhudi za uokoaji bado zinaendelea
Kituo kimejengwa vizuri miundombinu mizuri
Tukio linatokea tulikuwa bar terminal hapa msamvu
Nliona tu watu wanahaha kukimbilia kuona imekuwaje
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hicho Ni kituo au nguzo ya umeme inayoteketeaView attachment 1463933
MOROGORO: Chanzo cha moto huo uliozuka ghafla bado hakijajulikana mpaka muda huu
> Juhudi za uokoaji bado zinaendelea
Umefurahi?
Huyu jamaa ni Bogas kabisa...Jamaa haitishi rescue team wala fire anaitisha camera warekodi tukio
Jr
Lori lile la mafuta lililoungua na kuua kibao ilikuwa hapo hapo msamvuKama kawaida tena.....
MOROGORO na Moto
MOTO na Morogoro
mkoa huu inabidi kufanyiwa maombi ya siku tatu
Hapana si msamvuLori lile la mafuta lililoungua na kuua kibao ilikuwa hapo hapo msamvu