Aadilu
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 645
- 463
mkuu 'sheli' ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, TOTAL, OILCOM, CAMEOIL nk. maneno sahihi ni 'kituo cha mafuta' au kwa kinyasa 'petrol station'
Jamani neno sheli limetoholewa na kuingizwa kwenye misamiati ya kiswahili mara baada ya kuonekana linatumika sana hivyo kiswahili fasaha cha neno 'Fuel station ni 'Sheli'