rodreven
Member
- Sep 13, 2017
- 55
- 94
Habari wana Jukwaa hili.
Kampuni ya STAR OIL inahitaji mtu ambaye ni mjuzi wa kutengeneza pump za petrol station. Ambaye itamwajiri moja kwa moja. Kazi yake kubwa itakuwa ni kutatua changamoto zote za pump katika vituo vya mafuta vya STAR OIL. Na anatakiwa awe huru kusafiri sehemu yoyote hapa Tanzania. Kama kuna mtu unamfahamu ambaye yupo vizuri kwenye ufundi wa pump za petrol station unaweza ukamjulisha fursa hii na anaweza nitafuta kwa DM ili niweze kumpa ABC.
Note:
Haitakuwa kazi ya kiholela, mtu atajiandaa kwa intensive interview ambayo akipita ataweza kuajiriwa. Mimi kazi yangu ni kukurecommend kwa waajiri kuwa unaweza hio kazi vingine kuhusu mshahara na bima za afya na NSSF utauliza na kuelewana na HRs. Na wala sihitaji hela ya mtu kwa kazi kwa kumuunganisha na kazi hii. What we need is you to deliver your abilities.
Kampuni ya STAR OIL inahitaji mtu ambaye ni mjuzi wa kutengeneza pump za petrol station. Ambaye itamwajiri moja kwa moja. Kazi yake kubwa itakuwa ni kutatua changamoto zote za pump katika vituo vya mafuta vya STAR OIL. Na anatakiwa awe huru kusafiri sehemu yoyote hapa Tanzania. Kama kuna mtu unamfahamu ambaye yupo vizuri kwenye ufundi wa pump za petrol station unaweza ukamjulisha fursa hii na anaweza nitafuta kwa DM ili niweze kumpa ABC.
Note:
Haitakuwa kazi ya kiholela, mtu atajiandaa kwa intensive interview ambayo akipita ataweza kuajiriwa. Mimi kazi yangu ni kukurecommend kwa waajiri kuwa unaweza hio kazi vingine kuhusu mshahara na bima za afya na NSSF utauliza na kuelewana na HRs. Na wala sihitaji hela ya mtu kwa kazi kwa kumuunganisha na kazi hii. What we need is you to deliver your abilities.