Nini cha kufahamu pale unapotaka kuanzisha biashara ya kituo cha kuuza mafuta (Gas Station)

school boy dash

New Member
Dec 9, 2022
4
5
Heshima kuu ziwafikie Wadau..

Katika biashara ambazo kukweli naona zina pesa ndefu na ikiwa moja ya biashara ya ndoto yangu pia moja wapo ni hii ya kuendesha kituo cha kuuza mafuta (PETROL/GAS STATION)

Ingawa nafahamu kuwa biashara hij pia inahitaji mtaji mrefu (sina uhakika sana)

Hivyo bas nikiwa kwenye mchakato wa kuikimbiza ndoto yangu nikaona si mbaya nilete mada yangu kwenyw jukwaa hili nikiamini kuwa nitapata mwanga kwenye swala hili.

Hivyo bas kwa mtu yoyote mwenye kufahamu taratibu zote zinazo takiwa kufuatwa ili kuweza kumiliki kituo cha kuuza mafuta atupe maujuzii.

NB: Niliwahi kusikia kuna watu wanafungua vituo ila wana tumia majina ya makampuni yanayo import mafuta kama vile TOTAL, OIL COM, CAMEL OIL n.k

Mwenye kujua pia katika hilo itakuwa poa kama ukishare maujuzi.

Nawakilisha...
 
Heshima kuu ziwafikie Wadau..

Katika biashara ambazo kukweli naona zina pesa ndefu na ikiwa moja ya biashara ya ndoto yangu pia moja wapo ni hii ya kuendesha kituo cha kuuza mafuta (PETROL/GAS STATION)

Ingawa nafahamu kuwa biashara hij pia inahitaji mtaji mrefu (sina uhakika sana)

Hivyo bas nikiwa kwenye mchakato wa kuikimbiza ndoto yangu nikaona si mbaya nilete mada yangu kwenyw jukwaa hili nikiamini kuwa nitapata mwanga kwenye swala hili.

Hivyo bas kwa mtu yoyote mwenye kufahamu taratibu zote zinazo takiwa kufuatwa ili kuweza kumiliki kituo cha kuuza mafuta atupe maujuzii.

NB: Niliwahi kusikia kuna watu wanafungua vituo ila wana tumia majina ya makampuni yanayo import mafuta kama vile TOTAL, OIL COM, CAMEL OIL n.k

Mwenye kujua pia katika hilo itakuwa poa kama ukishare maujuzi.

Nawakilisha...
Unaweza kujenga ila ukakodisha Kwa MTU, unaweza kujenga na kutafuta suppliers. Kuna kipindi nilisikia kuwa wizara ya nishati wanatoa msaada/ruzuku nadhani Kwa MTU ambaye Yuko tayari kwenda kufungua vijijini. Sina uhakika
 
Heshima kuu ziwafikie Wadau..

Katika biashara ambazo kukweli naona zina pesa ndefu na ikiwa moja ya biashara ya ndoto yangu pia moja wapo ni hii ya kuendesha kituo cha kuuza mafuta (PETROL/GAS STATION)

Ingawa nafahamu kuwa biashara hij pia inahitaji mtaji mrefu (sina uhakika sana)

Hivyo bas nikiwa kwenye mchakato wa kuikimbiza ndoto yangu nikaona si mbaya nilete mada yangu kwenyw jukwaa hili nikiamini kuwa nitapata mwanga kwenye swala hili.

Hivyo bas kwa mtu yoyote mwenye kufahamu taratibu zote zinazo takiwa kufuatwa ili kuweza kumiliki kituo cha kuuza mafuta atupe maujuzii.

NB: Niliwahi kusikia kuna watu wanafungua vituo ila wana tumia majina ya makampuni yanayo import mafuta kama vile TOTAL, OIL COM, CAMEL OIL n.k

Mwenye kujua pia katika hilo itakuwa poa kama ukishare maujuzi.

Nawakilisha...
Ndoto yako nzuli sana lakini biashara hiyo inaitaji mtaji mkubwa kwa mikoani welayani unaweza kuanza lakini lazima ujipange angalau uwe kianzio kama kituo kiwanja matanki jengo baada ya hapo hata kama mtaji utayumba makampuni yaweza kukubeba au anza na mafuta ya vidumu kununua kwa masemi na kuuza
 
Unaweza kujenga ila ukakodisha Kwa MTU, unaweza kujenga na kutafuta suppliers. Kuna kipindi nilisikia kuwa wizara ya nishati wanatoa msaada/ruzuku nadhani Kwa MTU ambaye Yuko tayari kwenda kufungua vijijini. Sina uhakika
Asante mkuu.. well noted.. Nitalifatilia hili
 
Ndoto yako nzuli sana lakini biashara hiyo inaitaji mtaji mkubwa kwa mikoani welayani unaweza kuanza lakini lazima ujipange angalau uwe kianzio kama kituo kiwanja matanki jengo baada ya hapo hata kama mtaji utayumba makampuni yaweza kukubeba au anza na mafuta ya vidumu kununua kwa masemi na kuuza
Kweli mkuu. Asante kwa ushauri..
 
Back
Top Bottom