Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Ingia ubia na mwenye kiwanja..
Jenga, endesha, faida mtagawana.
Sijui kuhusu maroli ya mafuta yapo mengi tu kukodi na wengine watakufuata
Tena wauza mafuta wa jumla wakiona unajenga shell wanakutafuta wenyewe.., si ajabu hata hizo pump watakupa na hata standby jenereta nalo utapewa na wewe utawalipa kidogokidogo..
Kwa sababu nao hutafuta masoko ya mafuta na vilainishi vyao..
Hakuna kinachoshindikana kwenye ulimwengu wa biashara...
Mkuu, umenipa mwanga mkubwa kiukweli. Nimeshaonza pakuanzia.
 
Mkuu
Kunakitu nimegundua,watu hawajui ku benchmark gharama za vitu, hivyo wengi wao wanafanya kuropoka tu kitu ambacho sio sahihi...
Hii Ni tabia ya sisi watanzania, mtu anakurupuka na kusema tu billion mbili. Wala hajui Kama Kuna categories za vituo, ukubwa wa Tank, mode of operation etc.

Tunapenda kijifanya tunajua kila kitu na kukatishana tamaa.

Kimsingi Kuna two category filling station au kituo kidogo eneo lake lazima liwe so chini ya 600sqm. Walau liwe na pump mbili, ukubwa wa Tank itategemea na uwezo wa mmiliki lakini so chini ya 30,000 liters.

Kuna kituo kikubwa Petrol Service station ambacho eneo lake sio chini ya 2000sqm, pump zaidi ya nne, Kuna car service, restaurant/kiosk.

Kituo kikubwa kinagharimu Kati ya 300 - 400ml kukijenga kidogo Ni Kati ya 90m - 150m kulingana na upatikanaji wa eneo na material.

Matenk Ni Kama 15m lenye ujazo wa 20,000 pump 10 - 15m.

Mafuta unaweza kuingia ubia na wasambazaji ama ukanunua na kuuza.
Kila Lita ina margin Kati ya 65 - 130.

Hivyo unaweza kufanya hesabu zako hapo

Tusikashinane tamaa.

Kama hujui kaa kimya like unachokijua hata Kama Ni kidogo sema lakini kukatishana tamaa
 
Mkuu
Kunakitu nimegundua,watu hawajui ku benchmark gharama za vitu, hivyo wengi wao wanafanya kuropoka tu kitu ambacho sio sahihi...
Pia watu wanapenda kukatishana tamaa na hii ipo kwenye gharama za Ujenzi wa nyumba za kuishi usipokuwa makini unaweza shindwa hata kuanza ujenzi kwa maneno ya watu. Kimsingi ni kufanya utafiti wa kina ikiwa ni pamoja na kuuliza bei kwa supplier.
 
Pia watu wanapenda kukatishana tamaa na hii ipo kwenye gharama za Ujenzi wa nyumba za kuishi usipokuwa makini unaweza shindwa hata kuanza ujenzi kwa maneno ya watu. Kimsingi ni kufanya utafiti wa kina ikiwa ni pamoja na kuuliza bei kwa supplier.
Ni kweli.
 
Gharama ni kubwa ila hasa kama huna kiwanja na vibali. Matenki kwa Mwanza yanachongwa Usagara bei hutegemeana na tenki linachukua lt ngapi. Inaanzia ml 7-12 utahtaj tenki kutokana na mtaj wako lkn kawaida 2 -4. Paa la sheli gharama kubwa ni nguzo na baadhi ya vyuma vingine hitajika zaweza fika 70 ml . ujenzi wa ofisi na jamvi la chini n kawaida tu. Pamp digital mikono 2 n 8-15 inategemea unanunua wapi. Kwa kituo bora kabisa ni ml480 pamoja n decoration zote.. Nadhani umepata mwanga Kdogo.
 
Gharama ni kubwa ila hasa kama huna kiwanja na vibali. Matenki kwa Mwanza yanachongwa Usagara bei hutegemeana na tenki linachukua lt ngapi. Inaanzia ml 7-12 utahtaj tenki kutokana na mtaj wako lkn kawaida 2 -4. Paa la sheli gharama kubwa ni nguzo na baadhi ya vyuma vingine hitajika zaweza fika 70 ml . ujenzi wa ofisi na jamvi la chini n kawaida tu. Pamp digital mikono 2 n 8-15 inategemea unanunua wapi. Kwa kituo bora kabisa ni ml480 pamoja n decoration zote.. Nadhani umepata mwanga Kdogo.
Asante mkuu, ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom