EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 10,860
- 24,840
Mkuu, umenipa mwanga mkubwa kiukweli. Nimeshaonza pakuanzia.Ingia ubia na mwenye kiwanja..
Jenga, endesha, faida mtagawana.
Sijui kuhusu maroli ya mafuta yapo mengi tu kukodi na wengine watakufuata
Tena wauza mafuta wa jumla wakiona unajenga shell wanakutafuta wenyewe.., si ajabu hata hizo pump watakupa na hata standby jenereta nalo utapewa na wewe utawalipa kidogokidogo..
Kwa sababu nao hutafuta masoko ya mafuta na vilainishi vyao..
Hakuna kinachoshindikana kwenye ulimwengu wa biashara...