Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
asanteni kwa ushauri wenu,nitaufanyia kazi pia kama mna zahidi la kuongea naomba mueendelee kushauri,kwani natumaini kuna watu wengine apa pia wangependa kujua,mbarikiwe
hizi ni plan za baadae, matarajio ni kuanza na mini market (ya mazao ya kilimo na mifugo) subject to expand, tatizo ndugu zangu watz ukianza kuwaambia mawazo ya kuungana na kumiliki supermarket wanakuona kama mwehu wao wanasubiri waone biashara imesimama kwanza ndio waamini.
nimeona kwa wenzetu wakiwa na supermarkets nyingi lakini kila supermarket utakuta ina sifa yake ya kipekee, tatizo tz unakuta kila investor anafungua supermarket ambayo ni copy & paste ya mwenzake huku bei zikiwa juu na mtz wa kawaida hawezi kuzimudu... baada ya miaka 2 zinafilisika.
Mkuu usifanye biashara hizo. Hazina faida.
Ila kama una connections na hujali dhuluma, basi unaweza pata faida.
Mkuu Pamoja na location ambayo kutoka na UFISADI haifuatwi kwa sasa, ila kuna mambo mengine
Zile kampuni za mafuta kama Total, Lake oil, BP, GAPCO na kazalika ukienda na Proposal ya kueleweka huwa wanakujengea na wewe unakua unauza tu mafuta na ukienda kinyume na Sheria zao wana kunyang'anya sheli mida hiyo hiyo hawana mchezo,
So kuna wanao jenga vya kwao wenyewe na kuna vya Makampuni, na vingi vyenye Majina ya watu binafisi au sehemu uje ni mtu mwenyewe kajenga, Mfano JUMA PETRO STATION, SERENGETI FILLING STATION, hivi huwa ni vya watu binafsi, ila vile vyote vyenye majina ya Makampuni kama vile TOTAL, GAPCO, CAMEL. LAKE OIL, BP, na vinginevyo hizi vimejengwa na wenye makampuni na wanao uza ni menegment tu na mwisho wa siku wanakulipa kamisheni ya kuuza, na hapa kama Sheli ni ya GAPCO[\color] ukiuza mafuta ya TOTAL inakula kwako mazima, NA UNALAZIMIKA KUUZA NA GRESE ZAO, OIL ZOTE MBILI NA MAFUTA YA BREAK YA KAMPUNI YAO
Ila kama sheli umejenga wewe mwenyewe una mamlaka ya kuuza mafuta ya kampuni yeyote ile iwe SPACE OIL, LAKE OIL NA KAZALIKA,
ISHU ZA KUWEKA SUPEMARKET NI MANJONJO YA WEWE ULIE PEWA JUKUMU LA KUUZA MAFUTA, ILA KISHERIA BADO NI HATARI INGAWA WAPO WANAO WEKA HADI GEST SHELI
salaam kwa wote wana jf,naulizia hatua za kupitia pia na ni mtaji gani unafaa kuazisha sheli na supermarket pia,nitashukuru mkinisaidia
Mkuu sahihisho kidogo. Shell ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, PUMA, GAPCO n.k. Ukisema sheli ya Gapco ni sawasawa na kusema BP ya GAPCO.
Sheli ndio nini? Au unamaanisha Gas station.
Mkuu Pamoja na location ambayo kutoka na UFISADI haifuatwi kwa sasa, ila kuna mambo mengine
Zile kampuni za mafuta kama Total, Lake oil, BP, GAPCO na kazalika ukienda na Proposal ya kueleweka huwa wanakujengea na wewe unakua unauza tu mafuta na ukienda kinyume na Sheria zao wana kunyang'anya sheli mida hiyo hiyo hawana mchezo,
So kuna wanao jenga vya kwao wenyewe na kuna vya Makampuni, na vingi vyenye Majina ya watu binafisi au sehemu uje ni mtu mwenyewe kajenga, Mfano JUMA PETRO STATION, SERENGETI FILLING STATION, hivi huwa ni vya watu binafsi, ila vile vyote vyenye majina ya Makampuni kama vile TOTAL, GAPCO, CAMEL. LAKE OIL, BP, na vinginevyo hizi vimejengwa na wenye makampuni na wanao uza ni menegment tu na mwisho wa siku wanakulipa kamisheni ya kuuza, na hapa kama Sheli ni ya GAPCO ukiuza mafuta ya TOTAL inakula kwako mazima, NA UNALAZIMIKA KUUZA NA GRESE ZAO, OIL ZOTE MBILI NA MAFUTA YA BREAK YA KAMPUNI YAO
Ila kama sheli umejenga wewe mwenyewe una mamlaka ya kuuza mafuta ya kampuni yeyote ile iwe SPACE OIL, LAKE OIL NA KAZALIKA,
ISHU ZA KUWEKA SUPEMARKET NI MANJONJO YA WEWE ULIE PEWA JUKUMU LA KUUZA MAFUTA, ILA KISHERIA BADO NI HATARI INGAWA WAPO WANAO WEKA HADI GEST SHELI
Tuwasiliane nikupatie maeneo ktk miji uliyoita.location ni dar es salaam,mwanza na bukoba
kuna aina mbili za hivyo vituo!aina kwanza jenga cha kwako....kwa standard ya (seek ushauri kwa oilcom,gapco,total etc) ambao watakuuzia hayo mafuta!unakuwa unatumia logo yao .....ukishajenga kituo,unaweka deposit kwao mnaanza biashara!unaletewa mzigo ukiuza unapeleka hela yao ww unabakia faida....wanaleta tena!ila lazima uweke deposit kama 150m hivi!ama la uwe unanunua cash bin cash...hakuna kuchagua kampuni ya kukuuzia!unaenda popote na kununua mzigo unamwaga na kuuza!wajuzi zaidi wakiamka watakumwagia zaidi!subiri
mkuu 'sheli' ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, TOTAL, OILCOM, CAMEOIL nk. maneno sahihi ni 'kituo cha mafuta' au kwa kinyasa 'petrol station'
Yeah,mtindi wowote mi naita tanga fresh tu sina tatizo na hilo
sio petrol station ni 'fuel station' sababu pale hawauzi petrol peke yake. Kuna petrol,diesel,kerosene,gas na hata mkaa na kuni wanaruhusiwa.mkuu 'sheli' ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, TOTAL, OILCOM, CAMEOIL nk. maneno sahihi ni 'kituo cha mafuta' au kwa kinyasa 'petrol station'