Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

Sasa wewee kufanya huduma ya video calls na bado hujui mbinu?

Uwe unauliza waja wakupe ABC za kudukua pesa za wanaume waroho wa maku.
Sasa ukastukiwa mwanetuu? 😂😂😂
Wateja kuwarudisha kwenye namba ngeni kazi 😹😹😹
 
Tatizo lako ni mbishi haya endelea kubisha, hilo tatizo nimeshawahi kutumia hadi Ai ya whatsapp kwa email wanakufundisha jinsi ya kutatua. Njia zote hadi kureset simu zilidunda. Ila namba hiyohiyo iliyofungwa ilipotumika simu nyingine iliikubali.

Tulifungua akaunti nyingine na hiyo simu nayo ikapigwa ban vilevile,. Hadi mwenye simu kabadili
Nakushauri rudisha dukani kama bado ni mpya na ina warantii ukiipeleka ikachokonolewe wataikataa.

Yangu ni hayo tu, utaamua unavyotaka wewe.

Futa unofficial app na hadi mafile yake yote kwenye simu yako. Upande wa logs files. Ukijaribu kuingia hizo log files ndiyo zinafanya uzuiwe
Huyu huwezi kuelewana naye ana ka project kake huko WhatsApp sasa anaogopa sponsors watamuona tapeli akiwapa namba mpya..!! 😹😹😹

Na akifuta hiyo unofficial app yake namba zitapotea za wateja 😹😹
 
Attention natafuta mie au wewee? Nani aliyepigwa Ban kisa Ids nyingi, za kufanyia uchakaramu hapa JF?
poleee 😂😂😂
😹😹😹 Mods waunganishe na zile nyingine uone km watu hawajalia hapa..!!
 
Unajua hata kilicho tokea wewe. Nilikwambia unitumie PDF ulopewa na Lamomy ni hakiki hukutuma sasa unajifanya unajua the whole thiing
PDF lipo linatunzwa kwa matumizi ya baadaye 😹😹

Wewe utapewa siku ukijimix 😹
 
Huyu huwezi kuelewana naye ana ka project kake huko WhatsApp sasa anaogopa sponsors watamuona tapeli akiwapa namba mpya..!! 😹😹😹

Na akifuta hiyo unofficial app yake namba zitapotea za wateja 😹😹
Daah Unafikiri hata nitajisumbua kama zamani kujibishana na ujinga? Shenz type
 
Simu Yako ime wahi kua Rooted? Au ni zile used Dubai umenunua maduka ya China Plaza? Naweza kua na suluhisho nijibu ayo maswali kwanza
 
Tatizo lako ni mbishi haya endelea kubisha, hilo tatizo nimeshawahi kutumia hadi Ai ya whatsapp kwa email wanakufundisha jinsi ya kutatua. Njia zote hadi kureset simu zilidunda. Ila namba hiyohiyo iliyofungwa ilipotumika simu nyingine iliikubali.

Tulifungua akaunti nyingine na hiyo simu nayo ikapigwa ban vilevile,. Hadi mwenye simu kabadili
Nakushauri rudisha dukani kama bado ni mpya na ina warantii ukiipeleka ikachokonolewe wataikataa.

Yangu ni hayo tu, utaamua unavyotaka wewe.

Futa unofficial app na hadi mafile yake yote kwenye simu yako. Upande wa logs files. Ukijaribu kuingia hizo log files ndiyo zinafanya uzuiwe
Screenshot_20260731_195542.jpg

Hii app ni account nyingine ambayo ilikuwa kwenye official app na haiku pigwa ban... Hazijawahi kupata changamoto yoyote
 
Tatua genius , jambo dogo linakushinda vipi hilo , mpaka uombe msaada kwa wamatumbi?
 
C ndo kama hivo mtu anakutumia picha , masnap kibao mtoto kawaka kama Marie Antonienette yule malkia wa Ufaransa miaka ya 1875, cku unakutana nae mtu yupo kama dude baya😂😂😤😤😡😡
Jamaniii? Mbona hivyo tena, Woiiiih.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom