Mkuu naomba mwongozo wako ninafanya maombi ya passport pia lakini kipengele cha uthibitisho wa safari bado sijakielewa maana nimejaza tu lakini sijajua nikiprint watanitaka niambanishe huo mwaliko au inakuwaje?Hatimae nami nmepata passport baada ya kusubiri takriban week 4 bila kuwa na usumbufu wowote. Nashauri kama unapango wa kusafiri apo baadae ni vyema ukaomba mapema kuepusha rushwa zilizokuwa na ulazima.
Passport ni haki ya kila mtanzania.View attachment 2061989
Hongera kwako MkuuHatimae nami nmepata passport baada ya kusubiri takriban week 4 bila kuwa na usumbufu wowote. Nashauri kama unapango wa kusafiri apo baadae ni vyema ukaomba mapema kuepusha rushwa zilizokuwa na ulazima.
Passport ni haki ya kila mtanzania.View attachment 2061989
mkuu naomba tushirikishane uzoefu,.ni kweli kuwa mashahidi niliowaweka lazima wakasaini?je ni sahihi hizo printed out forms ziende kwa mwanasheria akazipitishe tena?nimeona mdau hapo juu aliandika., details zingine zote ninazo nilishajaza bado kulipia elfu 20 ili nitoe hizo hard copy,nimesita kulipia kwanza maana bado sijapata hiyo invitation letter.Inategemea mkuu kama unavigezo vyote unapata mana hawaangali sura bali vigezo kama umetimiza, cha muhimu unatakiwa kuomba mapema
Mkuu tupeane uzoefu,tupo pia nyuma yenu tunahangaikia mchakato..miongozo yenu mhimu sanaHongera sana mkuu
Wachaaa weeHatimae nami nmepata passport baada ya kusubiri takriban week 4 bila kuwa na usumbufu wowote. Nashauri kama unapango wa kusafiri apo baadae ni vyema ukaomba mapema kuepusha rushwa zilizokuwa na ulazima.
Passport ni haki ya kila mtanzania.View attachment 2061989
Mkuu kwenye barua ya serikali za mitaa ni content gani ambazo unaandika kama unaweza kushare lakiniHongera sana mkuu👋👋
upo mkoa gani! ulishagikia kupiga fingerprint?
kama unamtegemea mtu akusaidi hapo immigration utasota! mtafte mwingine humohumo atakusaidia tu siku hiz passpt ni wiki
Back to my comment, it's glad that early January I got my travelling passport. Ni kweli kwenye zoezi hili la hati ya kusafiria kuna changamoto sana kwenye mamlaka zetu lakini kwa aliyedhamiria kupata passport na ana shida mahususi akifuatilia anapata,ahsante kwa michango kwenye hizi mada za majukwaani maana hata kama watu hawajakusaidia lakini mawazo yako yana saidia kutoa ramani za wapi uanze na usiende wapi.mkuu naomba tushirikishane uzoefu,.ni kweli kuwa mashahidi niliowaweka lazima wakasaini?je ni sahihi hizo printed out forms ziende kwa mwanasheria akazipitishe tena?nimeona mdau hapo juu aliandika., details zingine zote ninazo nilishajaza bado kulipia elfu 20 ili nitoe hizo hard copy,nimesita kulipia kwanza maana bado sijapata hiyo invitation letter.
Me nilipata baada ya miezi mi3.Back to my comment, it's glad that early January I got my travelling passport. Ni kweli kwenye zoezi hili la hati ya kusafiria kuna changamoto sana kwenye mamlaka zetu lakini kwa aliyedhamiria kupata passport na ana shida mahususi akifuatilia anapata,ahsante kwa michango kwenye hizi mada za majukwaani maana hata kama watu hawajakusaidia lakini mawazo yako yana saidia kutoa ramani za wapi uanze na usiende wapi.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app