Cheti cha mzazi sina mkuu natumia nini cha ziadaInategemea mkuu kama unavigezo vyote unapata mana hawaangali sura bali vigezo kama umetimiza, cha muhimu unatakiwa kuomba mapema
Ni mwajiriwaUnafanya shughuli gani? (Biashara/mwajiriwa nk)jibu kwanza halafu nikupe mbinu.
Shukrani mkuuMaswali mbona ya kawaida sana tu
Weka kazi unayofanya ilimradi iwe na kipato cha halali
Shukrani mkuuHawazingatii kabisa kuhusu safari
Wanazingatia zaidi uraia, uraia wa wazazi na serikali za mtaa au barua ya mwajiri
Asante kwa muongozoPitia huu uzi kwa msaada zaidi...
Msaada wa kupata Pasi ya kusafiria
Wakuu naombeni mwongozo wenu tafadhali, nilikua nafatilia pasi ya kusafiria (International Passport) kidogo nimekumbsna na vikwazo. Mimi niko mkoani huku (Chuganian) Nimejaribu kuulizia uhamiaji wa hapa nimeelezwa niwe na: Cheti cha kuzaliwa (Ninacho) Namba za Nida (ninazo) Cheti cha kuzaliwa...www.jamiiforums.com
Nimekupm hujanijibuShukrani mkuu
Nataka kuuliza ni lazima uwe na vyote ama kinahitajika kimoja kati ya hivyo??Habari za muda huu wadau.
Nina uhitaji wa kuwa na hati ya kusafiria, velelezo vyote vinavyohitajika katika kujaza fomu ninanvyo kasoro hicho moja nambari sita. Je, nawezaje kupata passport pasipo hicho kielelezo namba 6. View attachment 2398204