Jebel
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 306
- 2,041
Ndugu zangu wanafamilia ya JF,
Kama kichwa kinavyotanabahi, mwenzenu naombeni msaada kwa yeyote atakayepata taarifa za passport yangu anaisaidie sana.
Passport imepotea mnamo tarehe 12/06 maeneno ya Ubungo.
Taarifa zifuatazo zipo kwenye passport yangu.
-Ni iPassort rangi ya blue
-Passport number: TAE401424
-Imebandikwa visa ya Dubai
-Imetolewa Tr 29April 2021
-Inaisha mda wake 28April 2031
-Ina tarehe ya kuzaliwa ya kwangu 07Nov 1989.
Sijaweka majina yangu shauri ya privacy hata hivyo naamini taarifa hizo zinatosha kwa yeyote atakayepata taarifa za Passport hiyo.
NB: kwa yeyote atayeipata kuna zawadi ya hadi TSH 50,000/=
Mungu atubariki, natanguliza shukrani.
Kama kichwa kinavyotanabahi, mwenzenu naombeni msaada kwa yeyote atakayepata taarifa za passport yangu anaisaidie sana.
Passport imepotea mnamo tarehe 12/06 maeneno ya Ubungo.
Taarifa zifuatazo zipo kwenye passport yangu.
-Ni iPassort rangi ya blue
-Passport number: TAE401424
-Imebandikwa visa ya Dubai
-Imetolewa Tr 29April 2021
-Inaisha mda wake 28April 2031
-Ina tarehe ya kuzaliwa ya kwangu 07Nov 1989.
Sijaweka majina yangu shauri ya privacy hata hivyo naamini taarifa hizo zinatosha kwa yeyote atakayepata taarifa za Passport hiyo.
NB: kwa yeyote atayeipata kuna zawadi ya hadi TSH 50,000/=
Mungu atubariki, natanguliza shukrani.