Msaada tafadhali...

Msaada tafadhali...

Keanu

Member
Joined
Mar 8, 2021
Posts
22
Reaction score
16
Nahitaji msaada seriously niliweza kua na biashara mahali na ilikua kiasi cha kuweza kuitegemea na kua na ndoto. kwa bahati mbaya wakati wa maandamano mwaka jana niliibiwa kila kitu. Hio hali ilinipelekea kwenye frustration mbaya. Namshukuru Mungu baada ya kukaa sawa kisaikolojia na kukubali nimepoteza kila kitu nikaanza harakati za kufatuta kazi nilifanikiwa kupata kazi kwenye kampuni moja na Namshukuru sana Mungu nilifanikiwa kupata sababu nina gap kwenye cv kwakua baada ya chuo nilianza biashara. Changamoto imekuja kwenye ile kampuni hawalipi kwa wakati hali ilionipelekea kuingia kwenye madeni. Unapitisha miezi miwili hulipwi chochote mwisho wa simu hela yote inaishia kulipa madeni ya dukani kukopa chakula.

Nimefanya kazi kwa miezi mitano lakini nimelipwa mara tatu tu. Nimelipa madeni yote nimebakiwa na elf 20. Naomba msaada nataka kuanzisha genge mahali nahitaj mtaj.


Kama kuna mtu anaweza kununua asali kwa tsh 25,000/= kwa lita naomba unisaidie. Pia kama unahitaj mtu wa kupika , mimi najua sana kupika kama unahitaji mtu akupikie ukirudi nyumbani unakuta chakula naomba tuwasiliane.

Malengo yangu ni raise milioni moja nianze genge. Nina bachelor degree ya business administration. Nina experience na customer service. Nilikua napokea simu 200 plus a day, I know how to work a rude customer, nimetukanwa sana na wateja, I know how to work with smart customers na hata wateja wezi.

Carrying company weight and defend the company, taking the blames and finding the best solution possible also nimejifunza the best note on customer communications.

Kama unaweza kunisaidia please write me a meseji kwenye email yangu. Hata kama unahitaj mtu wa kumlipa kwa siku please sichagui mimi. Jinsia yangu mwanamke age 25.

xby362851@gmail.com
 
Kila la heri mkuu ngoja nikoment kuweka Uzi wako juu pale!
Matajiri wako bar muda huu wanalewa, asubuhi wakiamka watauona
 
Nilienda duka la Stephan pet pale masaki kununua kitu fulani, wako na huduma Kwa wateja nzuri Sana, nje mada
 
Habari
Nahitaji msaada seriously niliweza kua na biashara mahali na ilikua kiasi cha kuweza kuitegemea na kua na ndoto. kwa bahati mbaya wakati wa maandamano mwaka jana niliibiwa kila kitu. Hio hali ilinipelekea kwenye frustration mbaya. Namshukuru Mungu baada ya kukaa sawa kisaikolojia na kukubali nimepoteza kila kitu nikaanza harakati za kufatuta kazi nilifanikiwa kupata kazi kwenye kampuni moja na Namshukuru sana Mungu nilifanikiwa kupata sababu nina gap kwenye cv kwakua baada ya chuo nilianza biashara. Changamoto imekuja kwenye ile kampuni hawalipi kwa wakati hali ilionipelekea kuingia kwenye madeni. Unapitisha miezi miwili hulipwi chochote mwisho wa simu hela yote inaishia kulipa madeni ya dukani kukopa chakula. Nimefanya kazi kwa miezi mitano lakini nimelipwa mara tatu tu. Nimelipa madeni yote nimebakiwa na elf 20. Naomba msaada nataka kuanzisha genge mahali nahitaj mtaj. Kama kuna mtu anaweza kununua asali kwa tsh 25,000/= kwa lita naomba unisaidie. Pia kama unahitaj mtu wa kupika , mimi najua sana kupika kama unahitaji mtu akupikie ukirudi nyumbani unakuta chakula naomba tuwasiliane. Malengo yangu ni raise milioni moja nianze genge. Nina bachelor degree ya business administration. Nina experience na customer service. Nilikua napokea simu 200 plus a day, I know how to work a rude customer, nimetukanwa sana na wateja, I know how to work with smart customers na hata wateja wezi. Carrying company weight and defend the company, taking the blames and finding the best solution possible also nimejifunza the best note on customer communications. Kama unaweza kunisaidia please write me a meseji kwenye email yangu. Hata kama unahitaj mtu wa kumlipa kwa siku please sichagui mimi. Jinsia yangu mwanamke age 25.
xby362851@gmail.com
Mkoa gani upo?
 
Well! Kwanza usiach io kazi mana angalau unaaminika unakopesheka, wakat uko apo endelea kutuma CV sehem zingne inshallah utapata Mahali pazuri, Iko kias unalipwa angalau fungua accaunt ya malengo uwe unatupia kid kidg umo, tatu kaz za kua unapikia mtu azina faid kibongobongo, angalau tafut kitu cha kufany ku boost kipato, tafut hat kikaz cha kiwandan cha night shift uwe unakimbiz siku 3 kwa week! Kila la heri
 
Wanakulipa kiasi gani, na kwa nini miezi inapita bila kulipwa? Ni taasisi inayohusika na nini?
 
Wanakulipa kiasi gani, na kwa nini miezi inapita bila kulipwa? Ni taasisi inayohusika na nini?
Mshahara 300k, kwanini hawalipi kwa wakati sijui sababu hata niliowakuta wameacha, hakuna structure, hakuna hr, manager hakuna. Ni kama labour force unaenda unapangiwa majukumu, hakuna mkataba pia. Hela unatumiwa kwenye simu. Wafanyakazi wote niliowakuta ni wapya mbaka sasa wamebaki wawili naona wata
Well! Kwanza usiach io kazi mana angalau unaaminika unakopesheka, wakat uko apo endelea kutuma CV sehem zingne inshallah utapata Mahali pazuri, Iko kias unalipwa angalau fungua accaunt ya malengo uwe unatupia kid kidg umo, tatu kaz za kua unapikia mtu azina faid kibongobongo, angalau tafut kitu cha kufany ku boost kipato, tafut hat kikaz cha kiwandan cha night shift uwe unakimbiz siku 3 kwa week! Kila la heri
Kazi za viwandani napataje?
ajiriwa
 
Back
Top Bottom