Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,357
- 62,605
Malipo sio mabaya sana, naona changamoto ni kutokulipwa kwa wakati.Mshahara 300k, kwanini hawalipi kwa wakati sijui sababu hata niliowakuta wameacha, hakuna structure, hakuna hr, manager hakuna. Ni kama labour force unaenda unapangiwa majukumu, hakuna mkataba pia. Hela unatumiwa kwenye simu. Wafanyakazi wote niliowakuta ni wapya mbaka sasa wamebaki wawili naona wata