Smooth Criminal
JF-Expert Member
- May 13, 2024
- 1,745
- 3,133
anunue tractorZa kulimia shamba.
anunue tractorZa kulimia shamba.
Haya.anunue tractor
ndo umwambieHaya.
Kama unavaa boxers za Polyester wacha haraka sana hio ndio inayo sababisha mpaka kizazi itakatisha . Nunua boxers za cotton zina bei lakini utakuja Ona tafauti yake.Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Hahaha, nitamwambia.ndo umwambie
maana mwingine atakuja kushtaki hana meno, mguu, nguvu za mikono, nk wote hatuwezi kuwa na kila kitu mkuu
Nina muda wa kama miezi sita, ndio najichua ila sio sana , kilo ,angu ni 55 kgLina muda gani hili tatizo? Je unajichua? Una kilo ngapi? Unatumia vilevi?
Halafu..Ukweli ni kwamba, kuendelea kutumia dawa za kusuni, mitishamba, au kununua dawa kiholela kwa waganga bila kujua chanzo cha tatizo kunaweza kuchelewesha matibabu sahihi na kuongeza madhara mwilini mwako.
Kutokuwepo kwa uume kusimama asubuhi mara nyingi huashiria uwepo wa shida ya ki-asili (organic ED) kwenye mtiririko wa damu, neva, au homoni.
Mtu wa ccm,huku unajibu vizuri kabisa na kwa upendo tofauti na kule.pole gentleman,
huenda una infectious kwenye via vya uzazi au njia ya mkojo. Tafadhali muone daktari kwa msaada wa kina zaidi kuhusu hilo.
kwa kufanya hivyo,
utapata nafuu ya taratibu lakini ya uhakika na hatimae kupona kabisa changamoto hiyo ya fedheha unayoipitia ukiwa kwenye umri mdogo mno.
Mungu akujalie afya njema gentleman 🐒
mcheki 0714939103 huyu jamaa alinivusha nyakati ngumu sana.Bei yao ya kawaida,nakumbuka niliwalipa elTafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
gentleman,Mtu wa ccm,huku unajibu vizuri kabisa na kwa upendo tofauti na kule.
Mkuu ni kweli ulichosema, ila kule unakuwa mbogo hasa akisemwa Mh raisigentleman,
zingatia maelezo,
jifunze, chukua ushauri na mapendekezo yanayokufaa na usonge mbele na itapendeza zaidi.
binafsi sina uchoyo wa mawazo mapya wala fikra mbadala katika kila jukwaa ninaloona nafaa kushauri na si vinginevyo 🐒
Gentleman,Mkuu ni kweli ulichosema, ila kule unakuwa mbogo hasa akisemwa Mh raisi
Wala wewe ni mnafikiMhhh! Wanaume wote....! Huu utafiti umeufanya wapi mjukuu wangu!! Hadi mimi babu yako umeniweka kwenye hili kundi? Au ndiyo maana Bibi yako SweetyCandy amenipiga chini? 😟
Nasema mbogo kwa kile ninachokitafsiri kama majibu ya nyodo,ila Kuna kitu nakipenda kutoka kwako na mwashambwa,licha ya matusi na kejeli mnazoshushiwa,sijasikia mkirudisha matusi.Gentleman,
mimi si mbogo wala nyumbu dhidi ya mdau yeyote yule wa Jf, kuhusu jambo lolote lile jukwaani, huenda makosa yangu ni kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu, ambayo wengi hawapendi kuona yakielezwa.
na ikiwa ni hivyo,
ninaomba msamaha in advance, kwasababu kwa Neema na Baraka za Mungu, nitaendelea kueleza ukweli mtupu jukwaani kwenye mambo ya msingi tu 🐒
Mkuu Tlaatlaah nimekuona pm kiongoziGentleman,
mimi si mbogo wala nyumbu dhidi ya mdau yeyote yule wa Jf, kuhusu jambo lolote lile jukwaani, huenda makosa yangu ni kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu, ambayo wengi hawapendi kuona yakielezwa.
na ikiwa ni hivyo,
ninaomba msamaha in advance, kwasababu kwa Neema na Baraka za Mungu, nitaendelea kueleza ukweli mtupu jukwaani kwenye mambo ya msingi tu 🐒
Mkuu nimekuona pm Tlaatlaahgentleman,
zingatia maelezo,
jifunze, chukua ushauri na mapendekezo yanayokufaa na usonge mbele na itapendeza zaidi.
binafsi sina uchoyo wa mawazo mapya wala fikra mbadala katika kila jukwaa ninaloona nafaa kushauri na si vinginevyo 🐒
Sawa kiongoziokey,
ntaingia soon gentleman tuonane![]()
ephen_ Nani amekupa mamlaka ya kua msemaji wetu????Aliyekwambia una tatizo kakudanganya, mbona wanaume wote kusimamisha ni kazi.