Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Ni dawa za asili. Si dawa aina moja pekee.

Kwa jumla Kuna dozi Tisa (9). Kuna za kunywa, kuoga,

Lakini akiwa alishawahi kusimamisha na kula mzigo, anaweza ishia dozi mbili tu mashine inarudia nguvu za ujanani hata kama kwa sasa imedhoofika kutokana na mambo kadhaa wa kadha kama uzee.

Kama hajawahi kusimamisha kabisa tokea kuzaliwa, anaweza pia akaishia dozi mbili pekee au akamaliza dozi zote.

Ila kwa uzoefu, wengine huishia dozi Namba mbili. Wakiona wameshaanza kula mzigo fresh wanatimua zao kwenda kuendelea na shughuli za utafutaji.
Wewe umeishajua tatizo lake?
Au chanzo Cha tatizo lake?
 
Nishawahi kua na tatizo kama hilo niliteseka sana,,miaka 17 mzigo hausimami wala hausimiki kama mkufu,Muda wote huo sikuwahi kuonja sehemu telezi wala kujishughulisha na horizontal activities.

Shukrani kwa bibi kalimbwana wa matombo morogoro sasa nimepona kabisa napeleka moto hadi natamani Nguvu zipungue,.

Number zake nakutumia DM ila anapenda hela kama wanawake wa Tabata,..
 
Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.

Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.

Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).

Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.

Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.

N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).

Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).

Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.

0650 140 211
Okoa jahaz mkuuu dogo mtumbwi ushazidiwa na mawimbi
 
Nishawahi kua na tatizo kama hilo niliteseka sana,,miaka 17 mzigo hausimami wala hausimiki kama mkufu,Muda wote huo sikuwahi kuonja sehemu telezi wala kujishughulisha na horizontal activities.

Shukrani kwa bibi kalimbwana wa matombo morogoro sasa nimepona kabisa napeleka moto hadi natamani Nguvu zipungue,.

Number zake nakutumia DM ila anapenda hela kama wanawake wa Tabata,..
Mmmh bro mwenye tatizo awe makini naona wazee wa fursa wanapambania mteja
 
Wewe umeishajua tatizo lake?
Au chanzo Cha tatizo lake?
Hayo yote mgonjwa hutakiwa ajieleze kwa kirefu kabla ya tiba kuanza ili kujua aanze na dozi ipi.

Kumbuka hapa jukwaani anaweza asifunguke 100% kuhusu tatizo lake kwa mfano lilianza anzaje, ni tatizo la yangu kuzaliwa, ni mraibu wa kujichua n.k, lakini wakati wa tiba inakuwa nzuri kuanza kwa kumsikiliza na mgonjwa inampasa kufunguka kwa asilimia zote ili apate tiba sahihi ya uhakika na hatimaye aelekeze na wengine.
 
Kazi njema lakini TIBA hauko hivo huwezi aminisha mtu kupona na huja mtibu
Ni kweli, lakini kwa tatizo lake aliloeleza la nguvu za kiume, labda awe alishahasiwa.

Kama hajahasiwa, yenyewe asilimia za kupona kulingana na waliokwisha PATA tiba ni 100%, Tena wengi huishia siku moja tu anaondoka inabaki kukupigia tu kuwa Kuna mwingine amemwelekeza anakuja.
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Umri bado mdogo Fanya kazi kwanza Ndugu yangu, mambo ya kudinya hayatakufikisha popote
 
Ilo tatizo mie lilishawahi kunikuta nikiwa na miaka 23 aisee niliteseka nilichofanya nikawa nafanya mazoezi ya kukimbia kila siku kilometre zaidi ya 6 nilianza taratibu badae nikawa master nikawa nakula kitunguu Swaumu kwa muda wa mwezi na maji ya kunywa lita 3 na nikawa naimbia akili yangu kwa control my mind kuwa nguvu ninazo nikaacha hofu kuwa sina baada ya miezi kupita kama 3 nikapona
Kuna demu mmoja siku nikivyoenda nae aisee aliienjoy mpk akashangaa wakati nilikuwa kimoja chali mpka sina tatizo la nguvu za kiume wala shangazi yake
Shida inaanza na akili yako umejiroga
Sasa nimekuwa mwalimu nimeshasaidia vijana wengi
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Lina muda gani hili tatizo? Je unajichua? Una kilo ngapi? Unatumia vilevi?

Halafu..Ukweli ni kwamba, kuendelea kutumia dawa za kusuni, mitishamba, au kununua dawa kiholela kwa waganga bila kujua chanzo cha tatizo kunaweza kuchelewesha matibabu sahihi na kuongeza madhara mwilini mwako.

Kutokuwepo kwa uume kusimama asubuhi mara nyingi huashiria uwepo wa shida ya ki-asili (organic ED) kwenye mtiririko wa damu, neva, au homoni.
 
Back
Top Bottom